Sitosahau nilivyookolewa kwenye msala na Afande wa Kike JKT

Sitosahau nilivyookolewa kwenye msala na Afande wa Kike JKT

Kwahiyo kuvaa kiatu jua nikiwa kali ni ushamba?

Mimi nadhani wewe unaetoa kauli kama hiyo ndio mshamba kwanza una viwu maana huwezi nunua travolta labda ununue viraba midosho ya elfu tano hapo kariakoo.
Hayo Ma Travolta ni ma style ya miaka ya 70 huko,Kama ulikua hujui ndiyo leo nakufunguwa macho,tena Ma Cow Boy ndiyo walikua wanayapenda sana kwa sababu ya kuendeshea farasi!!
 
Hayo Ma Travolta ni ma style ya miaka ya 70 huko,Kama ulikua hujui ndiyo leo nakufunguwa macho,tena Ma Cow Boy ndiyo walikua wanayapenda sana kwa sababu ya kuendeshea farasi!!
Bro hivi kuvaa viatu ambavyo vilikua ni styles za zamani ndo ushamba??Hujui kwa mfano saiv style ya kuvaa mabwanga masuruali mapana ndo unyama?Fashion huwa zinarudi Bablai
 
Hakuna cha culture wala nini, unatuaibisha mbwa koko wewe,wewe ni wa matejoo kweli,huwezi kuta kijana wa njiro au mskao mapya/kaloleni akiongea au kuvaa kipuuzi hivyo,sidhani kama ni ushamba ila mna staili za kishamba kweli!! The A-towner
Culture dingii
 
Sasa Kama ni Culture, ndiyo hata amuangalii uvaaji wenu na hali ya hewa ya mahali husika!? Sasa hiyo Elimu yenu inawasidia nini!? Siku hizi hata Wamasai nao wamestarabika,kuna sehemu wanajua kabisa hapa Lubega no,wanakula vitu vikali!!
Ndugu kila mkoa una uniqueness yake .. huwezi mfosi mtu wa chuga afanane na mwanaume wa dar never ever..... Au mtu wa dar afanane na na wa kigoma .. the same na Marekani. Mtu wa kule amarillo texas kule mashambani wanakolima mahindi ni tofauti na wa Averett washington .
 
Bro hivi kuvaa viatu ambavyo vilikua ni styles za zamani ndo ushamba??Hujui kwa mfano saiv style ya kuvaa mabwanga masuruali mapana ndo unyama?Fashion huwa zinarudi Bablai
Siyo ushamba! Ila jifunzeni kutenganisha Mavazi ya twn na Mavazi ya porini!! Ukiwa twn piga vazi la twn! Na ukiwa porini ndiyo mpige hayo mabuti ya kuulia Nyoka!!
 
Kwa hio siku hizi ma cowboy hawavai Třavolta?
Hayo Ma Travolta ni ma style ya miaka ya 70 huko,Kama ulikua hujui ndiyo leo nakufunguwa macho,tena Ma Cow Boy ndiyo walikua wanayapenda sana kwa sababu ya kuendeshea farasi!!
 
Sasa wewe wa Njiro uko Mashavuni unaanzaje kunyonga style zetu za Ngarenaro,Ngusero,Ngalimi 009,Matejoo,,Nyie wa ushuani pigeni Suti zenu na tai sisi wa Ngarenaro tunapiga Dogy dogy,Travolta,Mnyonyo then tunapita ivi...Ishi maisha yako namimi naishi yangu
Hakuna cha culture wala nini, unatuaibisha mbwa koko wewe,wewe ni wa matejoo kweli,huwezi kuta kijana wa njiro au mskao mapya/kaloleni akiongea au kuvaa kipuuzi hivyo,sidhani kama ni ushamba ila mna staili za kishamba kweli!! The A-towner
 
Mkuu ipo ivii..kila mtu hapa ana uniqueness yake,We don't need to sound the same,,Mimi niliamua kutumia Ngareroo slangs coz nililenga audience flani,,,Kama huelewagi threads zangu tambua kuwa sijakulenga wewe,We kama umevaa jezi alaf mchezo huuelewi we ishi humo2,,Sio lazima Uelewe
Kwakweli Mkuu..Kuna namna naweza fanya nisiwe naoma Post zako...ntashukuru Sana ukinisaidia kwa Hilo..
 
Mkuu...Kama Kweli umesoma nakuelimika..unatakiwa ujue audience yako unayo e address..Sasa Kama huwezi kutofautisha Watu waÀrusha...na the rest of Tanzanians...UTakuwa unashida mahala.

Sijawai maliza kusoma Thread yako.
[emoji23] inabidi kuanzishwe short course ya kufundisha "Chugga slang".
 
Uje kwetu huku uongee kipumbavupumbavu hivyo,unakula mabanzi ya mgongo,mpaka utaongea vizuri kiswahili.
 
Back
Top Bottom