Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Unawezaje kupaza sauti kwa umbali wa kutembea kwa mguu kwa dakika 45 na mkawaelewana.? Anyway, next episode.......
Soma vizuri acha papala, nimesema nilitembea umbali wa dk 45 nilipokaribia kufika kabisa walipokaa nikaona kusogea zero distance nawalipo ni hatari ilibidi nisimame Mita tano kutoka hapo walipokaa yani kabla ya kufika exactly position. Ndipo wakawahi kusema stoooop. Nilipojitambulisha wakasema haya njoo ukae
 
Wachina huko makete mnafuata Nini,au ulikuwa unafundisha karate
 
Du..mwandishi mzuri sana!
 
[emoji109][emoji109]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…