Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

..
 
Nishangazwa zaidi na watu wa pwani walisema"MVUA ANAKUJA"
 
Njooo redio free Africa, RFA usimulie hiii simulizi utakuwa zaidi ya zabron, na rojazi
 
Aisee hv nikitaka ile story ya rojas naipaje kwenye mitandao humu...yan yule jamaa ni teja ila cha ajabu anajua kuhadithia utafkiri unaangalia movie....ile trip yake ya south ilikuw ni hatari mbaya aisee[emoji23]
Kuna watu walikuwa nazo sijui walizifuta, maana jamaa anaongea sio poa na ametuliaaa, mzee wa Jo - beg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…