walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,796
- 5,553
Acha ushoga kama kinawasha kipeleke wakakisugueIn short mpwayungu ni fala kama mafala wengine, kafie mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ushoga kama kinawasha kipeleke wakakisugueIn short mpwayungu ni fala kama mafala wengine, kafie mbele
Lakini sio kila kilicho public kinakuhusu ukiona kitu hukielewi au unapata wasiwasi nacho ujue hakikuandikwa kwaajili yako,ila kama wanaandika kwnye public then wakubali kuwa ni taarifa ya wote na wote wanaruhusiwa kuchangia kwa mitizamo yote
Haya we kumerr malizia wewe hii stor takle weweAcha ushoga kama kinawasha kipeleke wakakisugue
kama ni hivyo angewaandikia privately hao ambao wangemwelewa. asiweke huku JF kwa wote. awaandikie pembeni sisi tusione.Lakini sio kila kilicho public kinakuhusu ukiona kitu hukielewi au unapata wasiwasi nacho ujue hakikuandikwa kwaajili yako,
Kwahiyo vingine unapotezea tu.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Huyu katolewa group whatsApp alikokua anatoa story. Hajapitia ata dakika 2 za story yake
Imeisha hiyokidagaa; oya vipi unaendelea na story yako?
mpayungu; siendelei tena na story yangu, watu wenyewe hawaniamini
kidagaa; imeisha iyooo
mpwayungu; twenzetu tukacheze prutable
kidagaa; powa mwanangu lakini kwanza tafuta gest house ukaoge ubadilishie na nguo unaonekana kama kichaa
Cndo hapo Sasa hta mm nmeshangaa kwanza mwanaume unaanzaje kususa kisa maneno ya watuMpwayungu Village ile misukosuko yote uliyokumbana mara kupoteza nauli,kulala nje ya stand ya mabasi,kutembea umbali mrefu,kupanda juu ya miti,usiku na mchana wote wako bado tu unashindwa kustahimili maneno ya binadamu,
Jikaze wewe mtoto wa kiume
Sawa kama huyo kwenye avatar ni mwanaumeKuwa na heshima,umejiunga JF jana au juzi?
Mm ni baba yako mwenye dushe lililozungukwa na manyoya.
Jiheshimu dogo.
Waswahili mmejaa upumbavu mnaleta ujanja mwingi wakati amna hata chembe ya akilikwa nini unapenda kujifanya mwanaume wakati mwandiko wako unakusaliti? huwezi jificha dada tabia haijifichi hata kidogo
hata kama story yake sio ya kweli wewe inakuuma nini si inamuhusu yeye tunakuona tangu page ya kwanza hadi hii 52 umeshika bango na kung'ang'ania hii story ya uongo na bado unalazimisha wote humu tuamini au tuwe na mtizamo unavyotaka wewe! na zaidi huna hoja ya maana unaimba tu kama kasuku lete story yako moja ya ukweli kama mfano watu wajifunze kupitia kwako ila ww toka page ya 1 hadi 52 uko bize umejipa kazi ya kutoa kasoro kila page,kila commet,kila quote acha ujuaji wa kishamba wewe mtoto wa mama uliyelelewa na dada wa kazisasa kwa nini yeye atake kuaminisha kuwa ni kweli wakati si kweli?shida ndo ipo hapo tu. hii story inasimuliwa kwenye group yeye anaileta huku akijifanya ni yake
Embu leta ushahidi na uache kuropoka vitu usivyokuwa na uhakika navyosasa kwa nini yeye atake kuaminisha kuwa ni kweli wakati si kweli?shida ndo ipo hapo tu. hii story inasimuliwa kwenye group yeye anaileta huku akijifanya ni yake
Afunguke sasaa... Sa mtu kaingia mtini asee si tufanyaje...mjini hapa unaweza pigwa shilingi kweupe.Msaidieni kulipia bill ili apate muendelezo wa ilipoishia hiyo story la sivyo sahauni kuhusu kumalizia. Kuna wajomba wanaumiza vichwa kutunga hizo hadithi sio rahisi nyie mzipate hadi mwisho bure bure tu
Aisee yani ni vitu vinashangaza sana yani mtu kukomalia kitu ambacho hata yeye hana ushahidi kama ni uongo na hata kama ni uongo wewe inakuuma nini c uache kusoma, Jf inawatu wapumbavu sanaMtu ukiona bandiko halina mashiko kwako ustaarabu ni kujiondokea.
Kuliko kijitutumua kubishana huku ukidhalilisha wazazi wako. Kwamba ni kwa namna gani wamezaa hasara kubwa kama Wewe.