0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,155
- 11,168
Holy holm story yake ilikuwa kama ya kitoto lakini watu tuliifatilia sana,afu jamaa alikuwa anatiririka sana non stopUmemsahau HOLY HOLM na mkaka wa mzee Nchibaronda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Holy holm story yake ilikuwa kama ya kitoto lakini watu tuliifatilia sana,afu jamaa alikuwa anatiririka sana non stopUmemsahau HOLY HOLM na mkaka wa mzee Nchibaronda
Pole, wazazi walikuwa na makosa. Umri huo bado ulikuwa chini ya uangalizi wao. Kwa nini walikuachilia?!Kuharakisha maisha tu, nyumbani sikuwa na shida yoyote ile kila kitu uhakika, na niliaga vizuri tu japo walisikitika kwa maamuzi yangu. Baada ya kumaliza fm 4 nikaona kula vya bure nyumbani inatosha, nikasema nitafute changamoto mpya.
Mambo yalivyokuwa magumu nikapiga simu kwa mama anitumie hela japo sikufanikiwa kuitoa kutokana na changamoto ya mawakala kutoka makete hadi ikonda sikuona wakala. Kutoka Makete hadi Ikonda nilitembea masaa matano kwa mguu.
Yaan unatoka ulikotoka unaenda kutafta maisha makete?Kuharakisha maisha tu, nyumbani sikuwa na shida yoyote ile kila kitu uhakika, na niliaga vizuri tu japo walisikitika kwa maamuzi yangu. Baada ya kumaliza fm 4 nikaona kula vya bure nyumbani inatosha, nikasema nitafute changamoto mpya.
Mambo yalivyokuwa magumu nikapiga simu kwa mama anitumie hela japo sikufanikiwa kuitoa kutokana na changamoto ya mawakala kutoka makete hadi ikonda sikuona wakala. Kutoka Makete hadi Ikonda nilitembea masaa matano kwa mguu.
No woman no cryHii story yote kisa mwanamke
😁😁😁😁Na majanga yote hayo bado ukadinda
Ujue sehemu zenye machimbo ya madini, uvuvi na shughuli za mbao watoto huwa wanaanza kufanya kazi katika umri mdogo sana ili kujipatia riziki kwa ajili yao au pengine na familia zao.Pole, wazazi walikuwa na makosa. Umri huo bado ulikuwa chini ya uangalizi wao. Kwa nini walikuachilia?!
mkuu ata waliozaliwa mjini uku ni malaya?Wamwera wasikie tu.
Wachawi
Malaya
Roho mbaya
Still, bado tu angepoteza hiyo wallet yake na samaki wangekanyagwa tu.Kwenye kuuza simu ungemuambia dalali wewe unataka Tsh 90,000 net. Atie cha juu amshawishi mteja akinunua hiko cha juu ndo chake. Mfano kama alitaka Tsh 20,000 basi angemshawishi huyo Dada kwa Tsh 110,000.
Wewe ungeondoka na Tsh 90,000 na yeye angeondoka na Tsh 20,000.
Simple!
Katika hii part umenikumbuka ushauri niliowahi kupewa!! Ukifika ugenini kitu cha kuogopa kujihusisha nacho ni mapenzi acha kabisa wacha uonekane mjinga bt itakusaidia pakubwa sana. Since nimekuwa nime prove it.-------SEHEMU YA KUMI NA MOJA - - - - - -
Nilipokula chipsi yai makamu akaja kuniletea maji ya kunywa nakunionyesha sehemu za muhimu kama Choo na bafu. Nikalala fofofo japo ni chini kwenye sakafu lakini usingizi ulikuwa mtamu sana kutokana na uchovu mzito niliokuwa nao tangu nimeondoka Dar Es Salaam sikuweza kulala kwenye chumba zaidi ya hapo shule ya sekondari chinongwe. Asubuhi palipopambazuka makamu akaendelea na majukumu yake maana ndomtu pekee alikuwa yupo karibu na mimi kwa wakati huo. Mida ya saa sita hivi mchana akaniita nahitajika ofisini mkuu wa shule kafika. Nilipoenda yule mkuu akasema aone vyeti baada ya hapo akaniambia je nipo kwa malipo au Bure?. Nikaona huu ni mtego hapa nisilete tamaa ikabidi nijibu shortly kama swali linavyouliza nikasema 'bure', wakatabasamu Kisha mkuu wa shule akasema kuwa ngoja aitishe kikao cha dharura na walimu wenzake halafu saa saba hivi nitaitwa kwahiyo nikatoka nikaenda chumbani nilipopewa hifadhi ya mda. Baada ya nusu saa tu nitaitwa yule mkuu kwa kigugumizi akasema walimu wenzake wamependa sana swala hili ila niwape mda wajipange maana siwezi kufundisha tu bure bila hata ya vocha hiyo ni Violance. Mimi nikawaka nikasema violence kiaje Kati mm ndonimeamua nisilipwe nyinyi msijali mm nitafundisha bure kwahiyo rekebisheni mazingira ya msosi tu maana pakulala tayari japo kuwa ni chini ya sakafu ili msijali.
Walipoona nimekuwa mkali wakajua kweli kijana kapondeka, kwahiyo mkuu akampigia simu Afisa elimu kata kwamba aje Kuna dharura, yule Afisa elimu kata alipofika wakaamuru nitoke ndani niwaache wajadili. Baada ya mda mfupi nikaitwa wakasema niwe mvumilivu watajitahidi kufanya kikao cha wazazi mwezi ujao kwahiyo niende nyumbani wataniita. Yule Afisa Elimu kata akasisitiza kuwa yeye ndie atashughulikia swala Hili la michango ya pesa kwa wazazi ili angalau niwe napata ya Sabuni maana vinginevyo sitaishi. Maisha bila pesa ni uongo aliongeza. Kuna mda inabidi kushuka chini tu kuepusha taflani maana nilikuwa ugenini hivyo ikabidi nikae tu kimya ila nilijua fika haya mambo yote huyu makamu JAFE ndokapenyeza. Baada ya mjadara mrefu nikakubali yule Afisa elimu kata akaondoka nae mkuu wa shule akasema twende kijijini cente nikapate chakula japo nilijua ni mbinu zakunipoza machungu. Awamu hii hata sikuwa na hamu ya chakula maana nilikereka sana nikajisemea hii ni laana au nini? Mbona mambo hovyo kiasi hiki shida nini. Anyway tukapanda kwenye pikipiki na mkuu wa shule mpaka center ya kijiji kufika pale mama ntilie hauzi kingine zaidi ya WALI NJUGU. nikaagiziwa sahani moja ya Wali njugu nikala nikashiba japo msosi ulikuwa local sana kama Wali maharage wa shule ya sekondari songea boys [emoji23][emoji23][emoji23].
Baada ya hapo akanirudisha shuleni niende nikapumzike ila tulipofika tu nikamwita yeye mkuu na makamu nikawaambia hali yangu ya kiuchumi sio nzuri na mfukoni nina buku tano tu hivyo kusafiri kesho ni uongo maana nauli Sina. Wakaniuliza kwani naenda wapi nikasema Dar Es Salaam ila nivumilieni nijaribu kuwaomba ndugu zangu pesa wakituma ndonitaondoka. Mkuu akasema Sawa wewe kaa tu hata siku 3 maana ugali utakuwa unakula huu wa wanafunzi, kumbe pale shuleni Kuna wanafunzi mchana wanakula palepale kwahiyo nitakuwa nachukua ugali wa kutosha mpaka nachajioni. Baada ya hapo mkuu akasepa tukabaki mm na makamu maana makamu anakaa hapo hapo shuleni kwenye Kota za walimu,yule makamu akawa anasema umeamini maneno yangu? Nilikwambia mapema hapa hakuna kitu huyu mkuu kakusumbua tuuu.
Mtihani uliokuwa mbele yangu ni sehemu ya kwenda baada ya hapo nilipo maana Sina jipya tena. Ilibidi niombe simu ya makamu nijaribu kuwapigia simu ndugu jamaa na marafiki kuomba msaada wa nauli. Makamu akanipa kisimu chake kidogo akasema nitumie kwa mda huo baadae atachukua nikasema poa. Jaribu huku na kule kuomba nauli lakini wapi. Sehemu ya kwenda sijajua ila nauli kwanza mengine yatafata. Mwisho wa siku ilibidi nipige simu kwa baba angu kijijini nimwambie ukweli wote, Ile kupiga tu akasema ni bora nimepiga maana kanitafuta sana hata hivyo anahitaji nimsaidie 5000 ya dawa jino lake bado linamsumbua sana. Machozi yalinitoka [emoji22].
Nikamwambia baba ebu kwanza avute pumzi Kisha nikasema ukweli wote wa yale yaliyonitokea sikumficha hata moja baada ya hapo nikamwambia nimekwama huku ruangwa kwenye miji ya watu akasema kwann sikumpa taarifa? Nikamwomba msamaha akaniambia nivumilie kidogo atanipa taarifa kama atafanikiwa, kumbe mle ndani kulikuwa Kuna debe nne za mahindi akaenda kuuza zote akanitumia 20000 halafu ndani wakabaki na Unga tu waliosaga siku mbili zilizopita. Nilisikitika sana ila sikuwa na option baada ya mda akapiga tena simu akasema nauli aliyotuma haitoshi kunifikisha kijijini kwetu kwahiyo amemuomba rafiki yake wa zamani sana yupo mlandizi sehemu moja inaitwa DOSA AZIZI niende huko kashaongea nae, nikamwambia anitumie namba zake akanitumia mda huohuo.
Nikiwa nipo kwenye mawazo mazito pamoja na kwamba nimetumiwa hiyo pesa ila najua niendako nitakuwa mzigo tu sitakuwa na msaada wowote lakini no way itabidi asubuhi niondoke tu. Ghafla makamu akaja kuchukua simu yake akauliza kama nimepata nauli nikamwambia hapana, nilikataa kwa kuwa nilikuwa kwenye msongo mkubwa wa mawazo maana nimekumbuka sana. Alipochukuwa simu yake akaondoka, midaa ya saa mbili hivi usiku Kuna mtoto flani wa kike kanakaa kwenye hizo Kota za walimu kaliingia kwenye mjengo nilimo mimi kakaenda uwani haraka Kuna kitu kalienda kuchukua Ile kanataka kutoka namm nikakaita mlangoni Kwangu Ile kukiita tu kumbe mama ake alikuwa anaona mwanzo mwisho kale kabinti kakawa kanaona aibu kunitazama namm nikakashika mkono nikaona kamelegea, ghafla nikasikia sauti nzito inaita WE MARIAM lahaulaaa alikuwa ni yule madam muiraki kumbe huyu ni mtoto wake wakumzaa.
Niliposkia tu hiyo sauti moyo ulienda mbio kutazama ni yule madam nae makamu akawa ametoka nje kuongea na simu ikabidi nikaachie mkono kale kabinti yule madam akaongea kwa sauti "we mkaka kumbe umekuja huku kubaka watoto zetu?. Nikajisemea moyoni" Nilidhani yamekwisha kumbe ndoyanaanza", Kiukweli tamaa iliniponza tu haka kabinti tangu asubuhi nilikuwa nakamezea sana mate ni kirefu kiasi cheupe kama unawajua wamburu walivyo lakini pia kana kishepu kiasi hakana tumbo kabisa yani kamekatika, kwahiyo kalipopita kuchukua ule mpira nadhani wanachezaga netball mimi nikasema haka Katoto bado kamoto nikikafunua hata dakika mbili hazifiki nishamaliza kazi maana papuchi yake ni tofauti na Ile miji mama inayosimama pale buguruni sokoni usiku. Mambo ya kabadilika yule binti akaitwa akaanza kupokea kichapo cha kufa mtu mpaka makamu akaenda kumpokonya fimbo yule madamu, makamu akauliza nini shida? Akaambiwa kila kitu kilichofanyika baina yangu na mtoto wake. Yule mtoto approximately Ana miaka 16 au 17 hivi.
Makamu baada ya kuambiwa hivyo akaja moja kwa moja Kwangu anafoka, kumbe ndonia yako we mbwa, fataki firauni weeee sijakaa Sawa akaniwasha kerebu moja nzito sana kwenye shavu na mitama, pamoja na hayo yote sikutaka kabisa kupaniki maana wangepiga kayowi nikajaziwa kijiji. Nikaona yule madam kachukua simu akawa anampigia simu mkuu wa shule nae pia makamu anapiga kwa huyo huyo mkuu wa shule, nikasema Leo ngoma hii sio nyepesi nimelikoroga. Pressure ilinipanda sana japo nilijua hii kesi haifiki mbali maana siku fanya nae simple harmonic motion. Kwahiyo makerere yote yale nilijua ni vita ya mieleka tu sio urusi na Ukraine.
Dakika kadhaa nikaona mkuu wa shule kafika na pikipiki anahema kama kakimbizwa nikaona ghafla Kwangu kanishika Shati huku anauliza kwa jaziba kwanini nimebaka, nilicheka kidogo japo kwa fedheha, ni kapigwa kofi kwenye lile lile shavu nililopigwa kerebu na makamu mpaka nikahisi kama pamevimba. Nikajibu kwa upole kuwa sijabaka huyu madam katukuta tumeshikana tu mikono tena sio chumbani ni hapa kwenye mlango wa chumba changu. Wote wakiwa kwenye taharuki nikaona makamu kistarabu akamwita mkuu wa shule pembeni wakateta kwa dk kumi hivi Kisha wakaniita wakaniuliza nina bei gani mfukoni?. Nikawa jibu nina 5000 nikaona yule makamu anatoa 20000 mfukoni kwake akanipa akasema kwenye ISHU za wanafunzi wako very serious na mwanafunzi yoyote atakae Pata ujauzito huwa wanawekwa kwenye wakati mugumu sana na wakubwa zao ikiwemo maafisa elimu na wakurugenzi kwahiyo hilo jambo nililotaka kulifanya ilikuwa ni hatari Sana. Wakaniambia huyu madam hanaga dogo kesho asubuhi anaweza kufikisha hili swala kwenye kamati ya nidhamu kuhusu uwepo wa kibaka kwenye shule hii kwahiyo beba begi Lako usiku huu yani mida hii tunayozungumza uwe umeondoka tunaamini wewe ni mwanaume utajua mbele ya safari, asubuhi Kuna Bus la linaitwa MACHINGA huwa linapita hii barabara linatokea NACHINGWEA linaenda Dar Es Salaam asubuhi utapanda uende kwenu kwahiyo nenda ndani beba vitu vyako uondoke. Wote watatu walionekana kujaa upepo na jazba kupita kiasi, nikaingia ndani nikabeba begi usiku wa saa nne nikaondoka kwenye eneo lile mbaya zaidi ni kijijini pamepoa sana mida hiyo ni kerere za chura tu ndozinasikika basi.
......... Inaendelea usichoke.......