Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Mm ni daktari wa wanawake.
Hata kama ww unataka kuchunguzwa karibu hospitalini kwetu.
Hata kama ww unataka kuchunguzwa karibu hospitalini kwetu.
Umejuaje ni bikra
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejuaje ni bikra
Kidagaa imeisha iyompwayungu village kama kuna namna naweza pata muendelezo
nitumie utaratibu inbox au weka apa tu hao wapingaj achana nao
tunasoma vitabu kila siku hatuna wakuuliza kama ni kweli au uongo
Kama baridi ni kichocheo cha watu kufanya ngono zembe basi Ulaya itakuwa inaongoza kwa ufanyaji wa ngono zembe.Niliwahi kufika njombe mara mbili, msimu baridi imekolea sana nilikuwa kwenye hotel ina maji moto na fire place nakini sikuoga siku 4.
Mara nyingi mimi siongozwi na kichwa cha chini, naongozwa na kichwa cha juu.
Kwenye baridi nikipata Whisky wala sina haja na kitu kinaitwa demu, kwanza takwimu za ngoma mkoa wa njombe ni hatari kwa sababu ya ile hali ya hewa yao.
Itoshe kusema hiyo sababu aliyoitoa ni ya kipumbavu.Kwani hayo maambukiz ni sabab ya hali ya hewa? Kwan hii nchi ni njombe tu ndo kwny baridi?.
Kuna maeneo kama lushoto huko tanga,mbeya, arusha, moshi kuna baridi balaa lakn mbna maambukizi hayapo juu kama inavosemwa njombe?? Nahisi kuna sabab nyngne
Imeishaaaa hiyooooKijana huenda amepata majanga mengine, tutaanza kusikiliza hadithi ndogo ndani ya hadithi ya msingi
Imeisha iyoooMwamba amenishangaza sana hata mimi..
Yaani alidiriki kuwaletea Noma akina Dogo Janja na Bisu lao na wakaufyata, akaja kumwashia Moto Bosi wa Basi, Bado akathubutu kula nyama na Majangili huku Mtutu umelala pembeni..
Analetewa maneno ya Taarabu anasusa?
Sema nini?
Huyu mwamba mlaini sana Arifu..
Tuendelee tu na mitkasi mingine, hamna namna tena..
Documents ulizo attach hakuna hata moja ambayo tunaweza kuthibitisha kwamba ni zako, any fool would be in a position to do as you have doneWapuuzi kama nyie ndommeacha nisiendelee na huu uzi tena badala ya kutoa fact nikupe ukweli lakini unaamua kupinga tu eti hivi visa ni uongo. Umeamua kuingia kwenye profile yangu kutafuta Mada nilizokuwa nikiweka baada ya kuziona nikajua wewe ni mdadisi na mtafiti mzuri tegemeo langu uje uulize sehemu yoyote yenye mashaka nikujibu lakini unamaliza mazima yani kuwa huu uzi ni uongo. Sawa acha iwe hivyo maana akili zako zimekutuma lakini kwakua mumeamua kusema sieleweki Mala nasema nipo chuo Mala nasema nimemaliza form six vyovyote vile hayo mm napokea. Ila naomba niongee machache na hapa siongei na wewe Bali ni wana jamii forum wote. Elimu ya Tanzania iko yaaina tatu naomba nitaje kwa kimombo, Kuna formal education, informal na non formal education sasa kueleza moja baada ya nyingine mda huo sina kwahiyo naweza kusoma mwaka huu nikamaliza darasa la saba nikapumzika hata miaka mitano kutokana na akili yangu inavyonituma baada ya hapo nikaenda kidato na nne nikamaliza nikakaa miaka matatu mitaani huwezi jua nini kilinipata, after then naenda kumaliza kidato cha sita maamuzi ya kwenda chuo ni mm mwenyewe. Sasa nakuomba nenda ukasome sehemu ya kwanza ya huu uzi utakuta mwaka niliokuwa natafuta shule za kufundisha ilikuwa ni 2020, halafu nenda kwenye post niliopost nikisema nipo chuo. Swali ni kwamba kama nimeishia form six 2020 je ilipofika 2021 nikaona ni bora niende tu chuo na sifa ninazo kwani siruhusiwi?. Sasa mimi nimeamua tu kuwaweka wazi sio kila kitu ni kupinga tena mnapinga upuuzi hamuulizi mkajibiwa ndio maana moyo ulisita kuendelea. Na kwakua umesema mm muongo basi hapa chini naambatanisha baadhi ya nyaraka, mimi ni mtu na akili zangu huwezi nipangia mwaka wa kwenda chuo wala sekondari. Ninaweza kusoma PGM chuo nikasoma hata human resource kama sifa ninazo mtu hanipangii, naweza kusoma PCB nisiende udaktari nikaenda kusoma certificate in primary education kutokana na malengo yangu. Usikalili maisha na utanichunguza ila hutafanikiwa na ndio maana tunatumia fake ID humu kwahiyo siwezi kuweka kila kitu wazi mpaka mtu avute hisia mwishowe ajue kumbe mwenye hii ID ni ALEX au SAMWELI. View attachment 2230523View attachment 2230524View attachment 2230525
Imeisha hiyooo[emoji3][emoji3]Hata mumshawishi vp mtoa uzi ashakataa kwahiyo kaeni kwa kutulia
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mleta mada wamemtoa group la whatsApp sasa hawezi kupata mwendelezo hahaha
Bila shaka mda wa tukio alikua form 6 na sasa yupo chuokwenye uzi kasema kamaliza form 6 na humu anasema yuko darasaniView attachment 2230030
Na unaangalia nini kwenye laptop yako hapo nyie ndio mnafanya maisha yanazido kuwa magumuMm ni daktari wa wanawake.
Hata kama ww unataka kuchunguzwa karibu hospitalini kwetu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na unaangalia nini kwenye laptop yako hapo nyie ndio mnafanya maisha yanazido kuwa magumu
Imeisha hiyoMpwayungu Village ile misukosuko yote uliyokumbana mara kupoteza nauli,kulala nje ya stand ya mabasi,kutembea umbali mrefu,kupanda juu ya miti,usiku na mchana wote wako bado tu unashindwa kustahimili maneno ya binadamu,
Jikaze wewe mtoto wa kiume
Hata mm nilifikiria hvo piaKama baridi ni kichocheo cha watu kufanya ngono zembe basi Ulaya itakuwa inaongoza kwa ufanyaji wa ngono zembe.
Sasa aliwezaje kuvumilia shuruba zote alizopata wakati anashindwa kuvumilia vijimaneno vya wanajf ?Bora umeishia huko maana huku mbele jamaa kasusa kuendelea kwa sababu hataki kukosolewa..
Leo mtaongea yoteMwamba amenishangaza sana hata mimi..
Yaani alidiriki kuwaletea Noma akina Dogo Janja na Bisu lao na wakaufyata, akaja kumwashia Moto Bosi wa Basi, Bado akathubutu kula nyama na Majangili huku Mtutu umelala pembeni..
Analetewa maneno ya Taarabu anasusa?
Sema nini?
Huyu mwamba mlaini sana Arifu..
Tuendelee tu na mitkasi mingine, hamna namna tena..