Jamaa anatabia za kikekike eti amesusa.Mi nafikiri Uzi huu utiwe Tu lock mambo mengine yaendelee ......sidhan kama kuna kinachoendelea hapa tena.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anatabia za kikekike eti amesusa.Mi nafikiri Uzi huu utiwe Tu lock mambo mengine yaendelee ......sidhan kama kuna kinachoendelea hapa tena.
Kumbe kuna watu wajinga kiasi hiki cha kulia lia na vitu vidogo tu kama hivi.mpwayungu village watu wanalilia simulizi huku. Waonee huruma.
WivuuHii hadith umeanza jichanganya sehemu nyingi ukiwa na lengo la kuionogesha. Unataka matukio mengi sana mpaka unakosea. Hilo la huyo binti kumtaka inaonesha kabisa hukujipanga vizuri kulielezea. Na hilo la Majangiri kuwasha moto mkubwa kiasi cha wewe kutembea dk 45 kuufikia ni uongo mwingine ambao hukujipanga.
Mwendo wa kuuona moto umbali wa dk 45 ni moto mkubwa sana ambao majangiri hawawezi hatarisha maisha yao hivyo. Na hapo ukataja bunduki SMG eti uliifahamu sababu ulipitia JKT acha kufanya watu wote humu watoto. Wewe andika hadithi kama hadithi si lazim udanganye kuwa yalikukuta.
Watakuzodoa na utaishia njiani[emoji41]Nilichojifunza watu humu wanapenda sana simulizi..ntawaletea yangu siku moja (simulizi ya kweli ya maisha yangu inasisimua sana..ni ya kweli na si ya kubuni)
Unaweza kutuwekea vyeti tuone akili nyingi ulizonazo?Watu wazima uzima upi? Jamaa anachokosea ni kutaka kuwaaminisha watu wenye akili kuwa story ni ya kweli wakati ni ya kutunga. Hilo hatuwezi likubali. Aende zake huko. Wamemtoa kwenye group alilokuwa aki copy na kuja ku paste huku. Wakimrudisha ataleta tena story. Aache kutudanganya sisi wenye akili.
😂😂😂😂😂😂😂Kuna mdau safuher alichambua vizuri tukio like na kuweka maoni yake ila kwa ufupi kipande kile kina mambo mengi ambayo ni ngumu kuamini kwa watu ambao wameishi uswahilini na kujua nature ya vibaka japo wote hawalingani .
Ukiaacha jinsi alivyochoropoka aliniacha hoi jinsi alivyopambana nao na matukio mengine kwenye kisa hiko hapo mood yote ya kufuatilia iliisha nikabaki kuwa msomaji comments kutokana mtu hukujipanga kisaikolojia kama utapigwa na kitu kizito kichwani..
Alieka line yake ata mi nlikuwepo......kuhusu kadem lazima aweke story ili kunogesha, sa story gan kavu isokuwa na mapenziMtoa simulizi nilikwambia,ukifika sehemu ya demu iruke hujanielewa,unaona sasa yaan kwa kutaja demu tu ushaanza kupoteza ladha na watu pia wataanza tena kuitilia shaka hadthi yako kwasbb haingii akilini ngumu sana kuwaza mwanamke kwenye situation ile,hiyo moja , pili ni kwamba ulitumiwa hela 20000,simu ya makamu ulikuwa nayo wewe na uliulizwa una shngap ukasema huna hela so ile twenty uliotumiwa ulipokea kwa mtindo gani?
Tupe story kwa urefu kiasi Mkuu.Inanikumbusha mwaka 2011 niliacha nyumbani kila kitu kizuri kuanzia chakula cha uhakika mpaka sehemu nzuri ya kulala. Nikaenda wilaya ya tatu eti kutafuta maisha. Kuna usiku mmoja ulikuwa mgumu sana kwangu, sitasahau.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wachina huko makete mnafuata Nini,au ulikuwa unafundisha karate
Nyie msio na akili ndiyo mnatumia vyeti kutaka kuonesha mnazo. Nenda katafute vyeti vya Einstein ,Plato n.k kama utaviona.Unaweza kutuwekea vyeti tuone akili nyingi ulizonazo?
Sasa ndo ulie 😂😂😂😂😂Wivuu