Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

JF ni jukwaa huru kwahiyo mtu anapoamua kutoa story yake mheshimu maana ametumia muda na pesa (bando). Shida ya watu waananza kumshitumu.
Umepewa lift kwenye gari, unaanza kumfundisha aliyekupa msaada utafikiri umechangia mafuta.
Unafikiri watu, wanashinda JF muda wote? Watu wanafanya kazi kwahiyo usikute mtoa uzi anapata masaa 2 tu sasa na wewe unalazimisha andike story yote utafikiri unamlipa.
Hii tabia yawatu kuanzisha stori alafu awazimalizi imekua kero humu,mnafanya atawenye stori za Mana tuwapuzee,
 
Mwamba amenishangaza sana hata mimi..

Yaani alidiriki kuwaletea Noma akina Dogo Janja na Bisu lao na wakaufyata, akaja kumwashia Moto Bosi wa Basi, Bado akathubutu kula nyama na Majangili huku Mtutu umelala pembeni..

Analetewa maneno ya Taarabu anasusa?

Sema nini?

Huyu mwamba mlaini sana Arifu..

Tuendelee tu na mitkasi mingine, hamna namna tena..
Nimeanza kuamini huyu jamaa hii story ameitoa kwenye magroup ya whatsApp huko,ss kuna uwezekano ameleftishwa so ametafuta na yy sababu ya kuzira,mwanaume halisi hawezi kuwa na tabia za kuzira
 
Kwa tabia yako hii huwezi Ishi na watu wala ndugu vizuri
Kuishi kwa ndugu si haki, bali ni unyonyaji...zamani tuliita kupe!...... ni haki yao wakuibie au wakuletee majambazi kwa huo uzembe!....kwa sbabu unaua fikra zao taatibu!.....zinakuwa fikra tegemezi kwa hiyo iko siku watakuua!
 
Samahani tunaomba vya kwako kama ulichoandika uliandika ukiwa na akili timamu?
Natoa tu!! tena njoo nikupe!! kwani kazi niliombaje na nimeomba kampuni ngapi kwani!...zingine hata hawakujibu sasa wewe endelea kukificha, ukose kazi na hilo ri cheti kizae cheti kingine!!
 
Wapuuzi kama nyie ndommeacha nisiendelee na huu uzi tena badala ya kutoa fact nikupe ukweli lakini unaamua kupinga tu eti hivi visa ni uongo. Umeamua kuingia kwenye profile yangu kutafuta Mada nilizokuwa nikiweka baada ya kuziona nikajua wewe ni mdadisi na mtafiti mzuri tegemeo langu uje uulize sehemu yoyote yenye mashaka nikujibu lakini unamaliza mazima yani kuwa huu uzi ni uongo. Sawa acha iwe hivyo maana akili zako zimekutuma lakini kwakua mumeamua kusema sieleweki Mala nasema nipo chuo Mala nasema nimemaliza form six vyovyote vile hayo mm napokea. Ila naomba niongee machache na hapa siongei na wewe Bali ni wana jamii forum wote. Elimu ya Tanzania iko yaaina tatu naomba nitaje kwa kimombo, Kuna formal education, informal na non formal education sasa kueleza moja baada ya nyingine mda huo sina kwahiyo naweza kusoma mwaka huu nikamaliza darasa la saba nikapumzika hata miaka mitano kutokana na akili yangu inavyonituma baada ya hapo nikaenda kidato na nne nikamaliza nikakaa miaka matatu mitaani huwezi jua nini kilinipata, after then naenda kumaliza kidato cha sita maamuzi ya kwenda chuo ni mm mwenyewe. Sasa nakuomba nenda ukasome sehemu ya kwanza ya huu uzi utakuta mwaka niliokuwa natafuta shule za kufundisha ilikuwa ni 2020, halafu nenda kwenye post niliopost nikisema nipo chuo. Swali ni kwamba kama nimeishia form six 2020 je ilipofika 2021 nikaona ni bora niende tu chuo na sifa ninazo kwani siruhusiwi?. Sasa mimi nimeamua tu kuwaweka wazi sio kila kitu ni kupinga tena mnapinga upuuzi hamuulizi mkajibiwa ndio maana moyo ulisita kuendelea. Na kwakua umesema mm muongo basi hapa chini naambatanisha baadhi ya nyaraka, mimi ni mtu na akili zangu huwezi nipangia mwaka wa kwenda chuo wala sekondari. Ninaweza kusoma PGM chuo nikasoma hata human resource kama sifa ninazo mtu hanipangii, naweza kusoma PCB nisiende udaktari nikaenda kusoma certificate in primary education kutokana na malengo yangu. Usikalili maisha na utanichunguza ila hutafanikiwa na ndio maana tunatumia fake ID humu kwahiyo siwezi kuweka kila kitu wazi mpaka mtu avute hisia mwishowe ajue kumbe mwenye hii ID ni ALEX au SAMWELI. View attachment 2230523View attachment 2230524View attachment 2230525
"Oyaa Jafeeee,tumemaliza mwanangu. Afu mama kapendeza kinyama,daaaaah"
 
Natoa tu!! tena njoo nikupe!! kwani kazi niliombaje na nimeomba kampuni ngapi kwani!...zingine hata hawakujibu sasa wewe endelea kukificha, ukose kazi na hilo ri cheti kizae cheti kingine!!
Pole sana mdada mimi siishi huko ambapo mnategemea cheti kuombea kazi alafu kiwango changu cha elimu sio cha kuzunguka kwenye makampuni na sidhani hata kama una mpango wa kuifikia ila JIFUNZE KUISHI NA WATU
 
Kidagaa Uzi ushakufa imeishaa iyooo,
Mleta mada achana na hao wanao kuzingua just focus malizia story I trust u,kingine acha kusoma comments kama hauna moyo wa kuvumilia maneno ya watu.
 
Back
Top Bottom