Sitosahau Siku niliyobeba gunia la maiti, nikizani ni samaki

Axa urongo we jamaa hukuhis kixwa xa mtu au hukuhis mtalimbo ndani ya gunia was huyo jamaa!!????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kile kijamaa kichizi sana, nimeona nyuzi zake nimeishia kuwa mtazamaji. [emoji3] [emoji3]

Leo kaja na uzi wa ku-inspire vijana wa Dar sasa huo ushauri wake uchuro utupu.
Hahaha ngoja nikaupitie ili mapafu yangu yachuje hewa kwa haraka😂😂
 
Unabahati sana maishani ww! Kesi kuua ungeisotea hadi mahabusu zibomoke.
 
Mlinzi uliamua kuiba! Nina imani wauaji walipata ahueni ya kuondoshewa ushahidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hukufuatilia hata kujua chonzo cha hiyo maiti
 
Hapa kuna chai tena ya rangi. Nimegundua baada ya kusoma ' vipande vya maiti' how? Kwamba maiti ilikuwa imekatwakatwa vipande au ilikuwa imeoza? Hakuna logic hapa , ingekuwa imeoza harufu yake tu usingesogelea gunia na ingekuwa imekatwa vipande ungegundua kwa maji maji (rigormortice?) kukuchuruzikia so ukome kutunywesha black tea. Sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…