Sitosahau, Special thread

sitasahau kamwe siku niliyojikojolea kojo matataa ugenini aiseee kilichotokea hadi leo sina amani


LIKE Niku ADD
 
Last edited by a moderator:
hahaaaaaaaa.. kiruuu. enheeee ilikuaje??? mission ilikua accomplished au ndo uliishia njiani? unafumwa halafu hujala mzigo... hahaaaa inauma

Inaniuma mpaka kesho manake ndio nilikuwa ready for action nikadakwa shingoni kama yule nyau wa jana
 
pole mkuu! lakn hawa jamaa ni wakatiri sana sijui wao mungu wanaomuabudu ni mungu wa aina gan tu.?

kuna rafiki yangu mkiristu na ana tatizo la ugonjwa wa kisukari. Mara kwa mara anahitaji huduma ya choo. Kutokana na kazi yake ni kuwa mjini wakati wote, nilimshauri atumie vyoo vya Misikiti. Nilimfundisha nidhamu ya kuingia Msikitini, na anafurahia ushauri wangu. Kila Msikiti anaingia !
 

Aisee unaweza hama shule hivihivi
 
ha ha haha natamani kila mwanaume aelezee siku ya kwanza kupata bao
 

Pole sana mkuu, ungeazima hata kibandiko ukavaa nadhani asingekushitukia
 
Sitosahau siku ya kwanza nimepata ndoto nyevu nikatoa bao. Nilikuwa nimelala usiku nikaota namgegeda dada fulani ambaye sikuwahi kumfahamu sura yake, wakati naendelea kugegeda nikaanza kuhisi utamu wa ajabu na nikajikunja mithili ya jongoo aliyeguswa. Baada ya utamu kuisha nikasikia ute ute nikajua kidume tayari sasa nianze kupiga mikasi michuchu ya kitaa.
 
Sitosahau miaka kadha nyuma maisha home yalikuwa magumu tukawa tuna chemsha maharage usiku wa manane kukawa hakuna chumvi kutafuta tafuta s nkakutana na mbolea nkadhani n magadi du palichimbika hakuna maziwa WAla hela Ya kununulia ila jirani akaja akatusave
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…