Sitosahau, Special thread



hahahaha mkuu kila mtu alibalehe kwa staili yake..

Wengine tulijikuta tu tunajimwagia
 

Ha ha ha ha ungelaza watu njaa
 
ulijipiga bao duh
 

Mkuu nimecheka mbaya aisee eti mbona iko off.... yaani hiyo simu uuuwiii
 
ha ha haha natamani kila mwanaume aelezee siku ya kwanza kupata bao

Wee itakua shida...kuna jamaa yangu yeye tulikuaga tunacheza mpira ukamgonga tu kiunoni akamaliza hapohapo...na ilikua ndo mara yake ya kwanza sasa sijui alikua mwehu au
 
Sitasahau siku ya mashujaa 1979 pale uwanja wa Taifa tulipowapoteza vijana marubani wawili kwa ajali ya ndege ya kivita...

Hiyo ilikuwa baada ya vita ya Kagera...
 
Wee itakua shida...kuna jamaa yangu yeye tulikuaga tunacheza mpira ukamgonga tu kiunoni akamaliza hapohapo...na ilikua ndo mara yake ya kwanza sasa sijui alikua mwehu au

ha ha hahahaha duh mimi nitakuwa namvizia mwanamngu wa kiume nione siku kabalehe inakuwaje
 
ha ha hahahaha duh mimi nitakuwa namvizia mwanamngu wa kiume nione siku kabalehe inakuwaje

Hutajua...sema watoto wa siku hizi wanajua kuna kubalehe tofauti na sisi unajishtukia tu umekula mweleka unaweweseka
 
duuuu ngoja nakuja sio muda Shyland
 
Last edited by a moderator:
Sitasahau siku nilipokuwa primamary rafik yangu ananiuliza iv ww umeota nywele za huko chini nikawa najitia cjaota akanivuta nikaanza kuumia baadae nikamwambia ananivuta kanyuz kachup kumbe anavuta v...z
 
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nimecheka sana. Dah πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ
 
Sitosahau
Siku niliyopoteza simu yangu niliyonunua kwa Bei ya juu..nililia Kama mtoto siku ile πŸ˜‚πŸ˜‚..jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…