The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,255
hata mimi sintosahau siku nimepiga bao kwa mara ya kwanza..nilikua naangalia porn magazine niliikuta kwenye madaftari ya bro huku nimelala kifudifudi ktandani. Nilikua naangalia hadi mwisho picha zote halafu naanza upya tena page ya kwanza nikarudia kama mara kumi hivi ghafla nikaanza kuskia hali isiyo ya kawaida nikajua nataka kujikojolea nikaamka fasta ili nikimbilie chooni...weeeeee, nilipiga mweleka nikajibamiza mlango wa chumbani nikamalizia hapo kila kitu. Nilishinda kama mgonjwa siku nzima nawaza nini kimenitokea maana sikuelewa kukojoa gani hivi nguvu zinaisha mwili mzima
hahahaha mkuu kila mtu alibalehe kwa staili yake..
Wengine tulijikuta tu tunajimwagia