Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Kuna vitoto vingi vilivyo fail havitaki kuhoji. Sisi tunaohoji. Hawa vilaza wanatuchukia. Story ina gaps nyngi mandondocha yanakubali tu hatataki kuhoji uongo uwekwe wazi. Unakuta mtu anakenua tu meno kama taahira.
 
Mpeni muda mtunzi atunge visa vingine. Ila huu mwendo mwishoni atajikuta hana cha kutunga coz yote amemaliza atashindwa imalizia vizuri. Nina uzoefu na utungaji wa stories.
 
Nyie vijana wa fecebook kazi kwelikweli
 
Dada chizi unaongelea unayopitia aiseee pole Kanawe basi. Halafu utafute cha kufanya humu wengi wameshakuchoka. Mnakosa kazi mnakaa kutafuta waume kwenye nyuzi. Umri huo unanuka mkojo
Mbona upo kimya?
 
Aise. Ujue nimewaza sana, kusoma gazeti lote Hilo alafu mwisho nije nibaini ni fiction story wakati nimepoteza muda, ingeniumiza sana. Asante kwa kunisanuwa kuwa ni fiction story.
Yaani mtungaji pia hayupo makini sana nadhani anangalia sana movies za kinaijeria anakuja leta JF
 
Huwa nasikia kutoka kwa wadau, wakati wa kumuosha marehemu yale maji na taka mwili za marehemu hulindwa sana, kumbe wachawi hufanyia yao duh.
 
Vizuri Sana ..umejipambanua vyema.. .. jinsi ulivyo!
 
Duhh...pole
 
Unaandaa lesson plan ya kesho? Au unaumiza kichwa kutunga? Watu wanalia lia huku wanataka wapate pa kupatia usingizi na kupunguza stress.... Mi nawagonga wewe mwandishi andaa episode ya nguvu.... Waje wanywe chai.
 
Nilienda kuzika korogwe Kijiji hakina msikiti Wala Kanisa,mganga anaumwa wanaenda kumuangalia
Kijiji kizima hakuna mchaga hata Mmoja[emoji2]
 
Janja kiporo kikipashwa Moto huwa hakiongezwi chumvi kinapikwa na chumvi yake ileile iliyowekwa awali
naona episode ya 6 umeongeza chumvi kwenye kiporo hata wewe mwenyewe kiporo chako kimekushinda kuendelea nacho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…