Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Farm house ni nini?Nime enda kupumzika kwenye farm house mzee, Sasa utulivu ni mkubwa na hata mandhari ni mazuri.
mkeka Ume tick pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Farm house ni nini?Nime enda kupumzika kwenye farm house mzee, Sasa utulivu ni mkubwa na hata mandhari ni mazuri.
mkeka Ume tick pia
Mzee nyumba ya mapumziko, iko. maeneo ya shamba.Farm house ni nini?
Kwa maisha yapi uliyonayo ewe jobless hadi ukimbilie shambani kupumzika 😂Mzee nyumba ya mapumziko, iko. maeneo ya shamba.
Pame tulia kinyama, no kelele za gari au watu.
Kaka mapumziko ni kitu muhimu mzee, baada ya mishe za hapa na pale.Kwa maisha yapi uliyonayo ewe jobless hadi ukimbilie shambani kupumzika 😂
Utapumzika ukifaKaka mapumziko ni kitu muhimu mzee, baada ya mishe za hapa na pale.
Beside huku vyakula vya asili, maziwa safi.