Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
kweli wewe ni serengeti boys
Kweli ninyi mlikuwa mavuvuzela. Mnaleta mgomo kwa sababu mwalimu anawafuatilia muende prepo. Kwa hiyo shuleni mlikwenda kulala ua kusoma? Halafu mnafikiria kumbaka na kumdhalilisha mwalimu anayewataka mkasome. Hamjui mwalimu ni kama mzazi wenu? Humkujua kuwa kupanga kubaka mwalimu wenu ni sawa na kupanga kubaka mzazi wenu. Nyie Ni watu hatari sana na Ujinga kama huu unatakiwa kulaniwa na kila mwenye mapenzi mema na Tanzania.