Tetesi: Sitoshangaa Shangazi kuwa Mgombea Mwenza hapo Kesho...!

Tetesi: Sitoshangaa Shangazi kuwa Mgombea Mwenza hapo Kesho...!

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Najaribu kuunganisha DOT kinachoendelea huko Ughaibuni watu wakisaka kuungwa mkono ili wasaidiwe 2020 ata kwa kushirikiana na mashetani walisema wenyewe kuwa watafanya hivyo alimradi waende Ikulu! Nikijaribu kuangalia pia hapa TLS ilikuwa kama daraja tu la kufika kule watakako na mwisho wa siku wapate sehemu za kupaza sauti zao ili jamii iwatambue lakini mwisho wa siku wa Karata Ukawa imekufa na Chadema pekee itamtoa LISSU kama mgombea urais huku mgombea mwenza akiwa Shangazi Bi Fatma!

Mi tambitambi jamani!
 
So far anasitahili,ndio mwanamke jasiri zaidi licha ya kukulia kwenye viunga vya Ikulu ila hajaamua kuungana na wachumia tumbo walioshika chama!!
 
Najaribu kuunganisha DOT kinachoendelea huko Ughaibuni watu wakisaka kuungwa mkono ili wasaidiwe 2020 ata kwa kushirikiana na mashetani walisema wenyewe kuwa watafanya hivyo alimradi waende Ikulu! Nikijaribu kuangalia pia hapa TLS ilikuwa kama daraja tu la kufika kule watakako na mwisho wa siku wapate sehemu za kupaza sauti zao ili jamii iwatambue lakini mwisho wa siku wa Karata Ukawa imekufa na Chadema pekee itamtoa LISSU kama mgombea urais huku mgombea mwenza akiwa Shangazi Bi Fatma!

Mi tambitambi jamani!
Yaani TL kumiminiwa risasi unadai ni daraja LA kufika huko.... Kuna watu kweli mna roho ngumu kama za PAKA wa Lumumba...!!?
 
Yaani TL kumiminiwa risasi unadai ni daraja LA kufika huko.... Kuna watu kweli mna roho ngumu kama za PAKA wa Lumumba...!!?
Yamkini huzijui siasa mkuu japo sijazungumzia habari za risasi ila nenda chimbo tena ukiibuka utaibuka na jiwe la almasi
 
Huyu jama huko kwa watu cjui anataka nn. Ataumbuka acha tusubir

[emoji375][emoji375]
 
Najaribu kuunganisha DOT kinachoendelea huko Ughaibuni watu wakisaka kuungwa mkono ili wasaidiwe 2020 ata kwa kushirikiana na mashetani walisema wenyewe kuwa watafanya hivyo alimradi waende Ikulu! Nikijaribu kuangalia pia hapa TLS ilikuwa kama daraja tu la kufika kule watakako na mwisho wa siku wapate sehemu za kupaza sauti zao ili jamii iwatambue lakini mwisho wa siku wa Karata Ukawa imekufa na Chadema pekee itamtoa LISSU kama mgombea urais huku mgombea mwenza akiwa Shangazi Bi Fatma!

Mi tambitambi jamani!
Ikitokea hivyo, then, hii team itakuwa ni kikosi cha maangamizi.
Kama hali hii tuu, watu wanakosa usingizi na kuingia na mafaili chumbani, team hii ikitangazwa, mnataka kuwafanya watu chakula kisipite?. Acheni utani jameni, utani mwingine sio mzuri wa kutaka kuwaweka watu roho juu bure!.
Acheni kuwaza hivyo.
P.
 
Ikitokea hivyo, then, hii team itakuwa ni kikosi cha maangamizi.
Kama hali hii tuu, watu wanakosa usingizi na kuingia na mafaili chumbani, team hii ikitangazwa, mnataka kuwafanya watu chakula kisipite?. Acheni utani jameni, utani mwingine sio mzuri wa kutaka kuwaweka watu roho juu bure!.
Acheni kuwaza hivyo.
P.
Njozi tu braza tena za mchana kama yule bundi wa mchana wala hazinaga ukweli
 
Ikitokea hivyo, then, hii team itakuwa ni kikosi cha maangamizi.
Kama hali hii tuu, watu wanakosa usingizi na kuingia na mafaili chumbani, team hii ikitangazwa, mnataka kuwafanya watu chakula kisipite?. Acheni utani jameni, utani mwingine sio mzuri wa kutaka kuwaweka watu roho juu bure!.
Acheni kuwaza hivyo.
P.
hellow ndugu pascal!! Wana kamati tunakuandalia mpango wa kukuita tena kikaangoni kwa sababu ya comment zako kuonyesha upo kinyume na kuunga juhudi
 
Ikitokea hivyo, then, hii team itakuwa ni kikosi cha maangamizi.
Kama hali hii tuu, watu wanakosa usingizi na kuingia na mafaili chumbani, team hii ikitangazwa, mnataka kuwafanya watu chakula kisipite?. Acheni utani jameni, utani mwingine sio mzuri wa kutaka kuwaweka watu roho juu bure!.
Acheni kuwaza hivyo.
P.
Recently post zako Paskali umeonyesha which side u belong ila ulivyo mjanja soon utabadlsha upepo
 
Sheria inataka Mgombea Urais akitoka Upande wa Bara Basi Mwenza atoke upande wa Znz kwa maana awe Mzanzibar kwa maana ya Kuwa Na sifa ya kupiga kura Znz.
Fatma kazaliwa Na Wazazi wa Znz lakin mpaka Muda huu hana sifa ya UzanZibar kwa sifa ya Kuwa Mpiga kura wa Znz

Someni vyema Sheria Za Uchaguzi Za Kule kwa kina Jecha ni kali Kweli Kweli sio Kama Huku kwetu

1995 Pamoja Na Mambo Mengine NCCR Mageuzi chini ya Lyatonga walivaa Mkenge wa kumsimamisha Hayati Comrade Prof Abdulrahman Babu Kuwa Mgombea Mwenza nusu nusu Mrema afyekwe kwa kutotimiza Masharti ya Mgombea Mwenza Miaka akina Dr Masumbuko Selasini Lamwai wakaokoa Jahazi japo sababu ya kuzuia Babu kugombea haifanani Na Hii ya Fatma
 
Sheria inataka Mgombea Urais akitoka Upande wa Bara Basi Mwenza atoke upande wa Znz kwa maana awe Mzanzibar kwa maana ya Kuwa Na sifa ya kupiga kura Znz.
Fatma kazaliwa Na Wazazi wa Znz lakin mpaka Muda huu hana sifa ya UzanZibar kwa sifa ya Kuwa Mpiga kura wa Znz

Someni vyema Sheria Za Uchaguzi Za Kule kwa kina Jecha ni kali Kweli Kweli sio Kama Huku kwetu
Eeeh inamaana Bi Fatma si hana ata kitambulisho cha ukaazi kule Kisiwani?
 
Ikitokea hivyo, then, hii team itakuwa ni kikosi cha maangamizi.
Kama hali hii tuu, watu wanakosa usingizi na kuingia na mafaili chumbani, team hii ikitangazwa, mnataka kuwafanya watu chakula kisipite?. Acheni utani jameni, utani mwingine sio mzuri wa kutaka kuwaweka watu roho juu bure!.
Acheni kuwaza hivyo.
P.
Tusubiri, uchaguzi wa ndani chadema ndio utatupatia picha. With Lowasa in the house, nothing is predictable.
 
Ikitokea hivyo, then, hii team itakuwa ni kikosi cha maangamizi.
Kama hali hii tuu, watu wanakosa usingizi na kuingia na mafaili chumbani, team hii ikitangazwa, mnataka kuwafanya watu chakula kisipite?. Acheni utani jameni, utani mwingine sio mzuri wa kutaka kuwaweka watu roho juu bure!.
Acheni kuwaza hivyo.
P.
It would be nice to understand the true meaning of your comments

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom