Chakwale
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 1,080
- 1,585
Amini Usiamini Rais Ajae ni Mwanamke na ni Mtanzania kutoka visiwani yaan Zanzibar
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Dr Shein uchaguzi wa mwanzo kuingia kwake madarakani hakua na sifa ya kupiga kura Zanzibar, kwa hio aliweza kupiga kura moja tu ya Rais wa TanzaniSheria inataka Mgombea Urais akitoka Upande wa Bara Basi Mwenza atoke upande wa Znz kwa maana awe Mzanzibar kwa maana ya Kuwa Na sifa ya kupiga kura Znz.
Fatma kazaliwa Na Wazazi wa Znz lakin mpaka Muda huu hana sifa ya UzanZibar kwa sifa ya Kuwa Mpiga kura wa Znz
Someni vyema Sheria Za Uchaguzi Za Kule kwa kina Jecha ni kali Kweli Kweli sio Kama Huku kwetu
1995 Pamoja Na Mambo Mengine NCCR Mageuzi chini ya Lyatonga walivaa Mkenge wa kumsimamisha Hayati Comrade Prof Abdulrahman Babu Kuwa Mgombea Mwenza nusu nusu Mrema afyekwe kwa kutotimiza Masharti ya Mgombea Mwenza Miaka akina Dr Masumbuko Selasini Lamwai wakaokoa Jahazi japo sababu ya kuzuia Babu kugombea haifanani Na Hii ya Fatma
Pascal Mayalla anaandika anachoamini,ukweli uliopo.Recently post zako Paskali umeonyesha which side u belong ila ulivyo mjanja soon utabadlsha upepo
Nenda kamsome vizuri background yake.....uko mbali na uhalisiaItakuwa kheri, kwa mara ya kwanza tutapata mgombea makamu urais mwenye Genes za kisomali
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndo ishakuwa" pruuuuuuuu mpaka makka" uterezi kila wanapoenda panabuma.We si unaona harakati hizi za kujijenga! kila upande ukifanya yake lakini lengo likiwa 1! kuna kale kitendawili sijui ka kiswahili Pita huko nipite huku tukutane katikati wanajibu Mkanda