Naunga mkono hiiiA thing that can not live to see a day!
Sitta yuko entitled kusema chochote, lakini kwa hakika anajua kabisa materially ni kwa jinsi gani Slaa alivyo kichwa!
Kauli zingine za wanasiasa ni za kuzipuuza tu!
Naungana na wewe kwa asilimia 100%, ila pia japo siungi mkono uamuzi wa CCM kuikacha midahalo, wameamua bora wawe sorry than kuja kuregret baadaye kwa kuzingatia kilichotokea kwenye mdahalo wa jimbo la Ubungo, jinsi mtu wao alivyogaragazwa.ni kweli kabisa pasco
sitta is confident, but to me nadhani itakua insult kwa slaa kufanya mdahalo na mgombea ubunge... its degrading
Mkuu, ameshasema kwenye facebook kuwa hawezi kufanya mdahalo na mgombea ubunge!Dr. Slaa ni mgombea Urais, hatakiwi kufanya mdahalo na mgombea Ubunge, labda kama mdahalo utahusu mambo ya Urambo
mimi naona sitta kamdharau zaidi slaa kwamba hana ubavu na mdahalo with CCM presidential candidate labda apewe mgombea ubunge ndio saizi yake
its all perception
EBANAEE MUACHENI JK, MBONA MNA MSAKAMA SANA HATA MFANYEJE UCHAGUZI HUU SLAA HAPITI KWANZA USIJESHANGAA HUENDA SIYO RAIA. HATUWEZI TUKAMCHAGUA MTU ASIYE NA MVUTO KAMA SLAA. UCHAGUZI ULIOPITA BINAFSI NILIMCHAGUA JK KWASABABU NI PRESENTABLE, HATA KUMTAMBULISHA KWA WATU KWAMBA NI RAIS WANGU INAPENDEZA. ILA KITU KIKUBWA WALICHONIKERA NI KUTOKUIWEKA SURA YAKE KWENYE NOTI ZETU MAANA ZINGEVUTIA KWELIKWELI. NA UCHAGUZI HUU KURA YANGU NI KWA JK MAANA NAJARIBU KUMFANANISHA NA WENGINE BADO NAONA ANAWAFUNIKA KWA UHENDSUM. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI. :becky:
sitta is a thousand miles far behind tundu kwenye sharpness... kwanza itakua kama mmoja anaongea slow motion na mwingine anaongea fastaSitta apambanishwe na Tindu Lisu
the shallowest mind in JF... we need to award him/her for understanding his/her situation and sharing it out to the world.... MPAKA LEO KUNA MTU ANACHAGUA RAIS KUTOKANA NA SURA!!!!!EBANAEE MUACHENI JK, MBONA MNA MSAKAMA SANA HATA MFANYEJE UCHAGUZI HUU SLAA HAPITI KWANZA USIJESHANGAA HUENDA SIYO RAIA. HATUWEZI TUKAMCHAGUA MTU ASIYE NA MVUTO KAMA SLAA. UCHAGUZI ULIOPITA BINAFSI NILIMCHAGUA JK KWASABABU NI PRESENTABLE, HATA KUMTAMBULISHA KWA WATU KWAMBA NI RAIS WANGU INAPENDEZA. ILA KITU KIKUBWA WALICHONIKERA NI KUTOKUIWEKA SURA YAKE KWENYE NOTI ZETU MAANA ZINGEVUTIA KWELIKWELI. NA UCHAGUZI HUU KURA YANGU NI KWA JK MAANA NAJARIBU KUMFANANISHA NA WENGINE BADO NAONA ANAWAFUNIKA KWA UHENDSUM. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI. :becky:
Interesting, very interesting!"sijui kama anafanya utafiti, lakini alipaswa kuzikataa fedha za mshahara; mbona alikuwa anapokea? Alianza kujenga hoja hii baada ya kuona anataka kugombea urais, Slaa aache ghilba".
Nimekubali ulivyoiweka... artisticallyNamshukuru Kikwete na Makamba kwa kuifikisha CCM mahala ilipo sasa
Shukrani kuu ziende kwa cooker mzee Mkapa kwa kutupikia hichi kinacholiwa leo.
Interesting, very interesting!
Wanaomlaki Salma wakanwa
Katika mkuano wa jana, Kinana pia alisema viongozi wa serikali wanaoshiriki mapokezi ya Mama Salma Kikwete ambaye ni mke wa mgombea urais wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete, wanafanya hivyo kwa utashi wao na hawajaombwa na CCM.
Hatua hiyo imefikiwa baada ya Dk. Slaa kuilalamikia hali hiyo, na kuwaagiza wanasheria wa Chadema kumfungulia mashtaka Mama Salma.
Miongoni mwa madai yanayolalamikiwa na Dk. Slaa ni matumizi ya fedha za umma, yakiwemo malipo kwa viongozi hao wanaposhiriki ziara zake mikoani.
Ziara ya Mama Salma inatajwa kuwa ni sehemu ya kampeni za Uchaguzi Mkuu ambazo hata hivyo hazipo katika ratiba inayotambuliwa na Nec.
Jana, Kinana alilazimika kuwakana viongozi wa serikali wanaoshiriki mapokezi ya Mama Salma, kwa madai kuwa ziara zake (Salma) ni za kichama.
Alisema viongozi wa serikali wanaojiunga katika misafara ya Mama Salma mikoani, wakitumia magari ya serikali `wanajipendekeza' wenyewe na kwamba chama hakiwatumi kufanya hivyo.