Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Huu ni mkanganyiko... Wariiba alitoa maoni kwa wananchi na wabunge poa ni wawakilishi wa wananchi
Tatizo kubwa
Asilimia kubwa ya wabunge ni wawakilishi wa vyama na si wananchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni mkanganyiko... Wariiba alitoa maoni kwa wananchi na wabunge poa ni wawakilishi wa wananchi
Tatizo kubwa
Kina Warioba walitembea na kuongea na wananchi na hivyo kutuletea Rasimu hiyo. Hawa wajumbe wamekusanya maoni ya wanaowawakilisha? Wameyakusanyaje?
Kwa namna fulani naona mantiki ya Jaji Warioba. Kama wajumbe hawa wanaweza kubadili hoja ya msingi (bila hata kuwauliza kwanza wananchi), tume ya Jaji Warioba ilikuwa haina maaana. Kina Warioba wasingepoteza resources and muda wao kuzunguka na kukusanya maoni ya wananchi, ikiwa maoni hayo kumbe yangeweza kuletwa na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba!
Hatuwezi kufata maoni ya watu laki tatu wakati nchi inawatu milioi 45 kamwe hatukubali.
Umeambiwa haya ni maoni ya watu laki tatu tu siyo ya watanzania wote hivyo si mawazo ya wote lazima yabadilishwe pale itakapofaa.
Kama hayo maoni ni ya watu 300,000, sasa hao wabunge 621 wamekusanya lini maoni ya wananchi milioni 40 kwenda kuwasemea huko Bungeni! Kwa sababu, Wabunge wa JMT na Wawakilishi kazi yao tuliyowatuma ilikuwa ni kutunga sheria na kuisimamia Serikali. Masuala ya Katiba nani amewapa Madaraka ya kutuwakilisha kama siyo kuchakachua sheria?Umeambiwa haya ni maoni ya watu laki tatu tu siyo ya watanzania wote hivyo si mawazo ya wote lazima yabadilishwe pale itakapofaa.
Hatuwezi kufata maoni ya watu laki tatu wakati nchi inawatu milioi 45 kamwe hatukubali.
Umeambiwa haya ni maoni ya watu laki tatu tu siyo ya watanzania wote hivyo si mawazo ya wote lazima yabadilishwe pale itakapofaa.
Asilimia kubwa ya wabunge ni wawakilishi wa vyama na si wananchi.
wabunge wanachaguliwa na wananchi kutuwakilisha bungeni... ule utumbo unaouona mule ni reflection ya sisi watanzania
vyama ni conduits tu
kwahiyo sie ndio majinga kabisa
Mkuu, mbona iko wazi kabisa wabunge baadhi kupitia ccm wanapigania maslahi ya chama? Kilichoandaliwa na tume ya Warioba ndio maoni ya wananchi walio wengi.