Sitta: Bunge liombewe


Sina haja ya kujipendekeza nyie ni wapambe!
Mnabadilka badilika mno!
mnatisha!
Na sijui mnafikiri kuna mtu anafuta sifa hapa!?
 




Waombee watu binfasi ambao wana hangaikia haki ukisema waombee Bunge means wana waombea hata hao wapuuzi wengine .Sitta anapaswa kuombwa pia maana akili yake si nzuri kwa maamuzi yake mengi dhidi ya Taifa na yuko na CCM yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…