Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nadhani SITTA anafaa
zaidi kuliko CHENGEkwa sababu ana uzoefu kutoka mkubwa toka bunge la
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
KATIBA TUBNATAKA ADHABU YA KIFO KWA WAHUJUMU UCHUMI-jE CHENGE ATAFAA KWELI? Sita naye hafai kwa lolote maana ni mkomunisti wa kukubuhu. hakuna mtanzania mwenye sifa za uspika bali tukodi a british au an Israel man.Kwa taarifa zaidi soma gazeti Raia Mwema la leo. Je kati ya hawa wawili waliotajwa na gazeti hili, nani anafaa zaidi na ni kwanini?
KATIBA TUBNATAKA ADHABU YA KIFO KWA WAHUJUMU UCHUMI-jE CHENGE ATAFAA KWELI? Sita naye hafai kwa lolote maana ni mkomunisti wa kukubuhu. hakuna mtanzania mwenye sifa za uspika bali tukodi a british au an Israel man.
Bunge letu lipo hovyo sana na wala halina mwelekeo wa kutetea malsahi ya walio wengi. sasa tujaribu kukodi watu waliotoka kutoka nchi zilizoendelea. Tulifanya makosa sana kudai uhuru mapema maana umuhimu wa bunge kwa mtanzania ni kununua shangingi na kuingia katika tume za uchunguzi baasi.