P Pamwanya Senior Member Joined Jun 19, 2013 Posts 173 Reaction score 23 Jul 31, 2013 #41 Hata hivyo wenzetu wanazaa kistaarabu,hiv kwa mfano rais wenu anasafiri na familia nzima itakuwa achukue na watoto wa nje ya ndoa ili atambulishe wapate marafiki,hapo nadhani ndege itajaa kabla hata crew wake hawajaingia,not binding just a joke
Hata hivyo wenzetu wanazaa kistaarabu,hiv kwa mfano rais wenu anasafiri na familia nzima itakuwa achukue na watoto wa nje ya ndoa ili atambulishe wapate marafiki,hapo nadhani ndege itajaa kabla hata crew wake hawajaingia,not binding just a joke
Maundumula JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 7,553 Reaction score 3,081 Jul 31, 2013 #42 Ameacha kazi za Afrika mashariki anahaha kutafuta urais.