SITTA na CCM wameanza tayari kukiuka kanuni BMK

SITTA na CCM wameanza tayari kukiuka kanuni BMK

Muda mwingi unapotea na mwisho wa siku wataburuza mambo kwa kuwa muda utakuwa hautoshi! Sitta inabidi ajue hilo. Badala ya siku tatu hizo wangekwenda moja kwa moja kazini!
 
mwanzoni si ilikuwa waape kwa makundi? posho zinatafutwa!
 
Jamani wanajamvi Tundu Lisu kahoji bungeni leo juu ya tangazo kuwa Rais atahutubia bunge baada ya Warioba kuwasilisha rasimu bungeni kuwa ni kinyume na kanuni zilizopitishwa, na pia wabunfe watapata siku 3 za kuzungumza na kuchangia lolote baada ya hapo. Kwa mtazamo wangu hapo ccm wanajiandaa kutoka nje ya ajenda ili kutumia muda huo kuharibu mawazo ya watu na kuchomeka ajenda zao za serikali mbili.

Kwa hili wapinzani na wananchi tusitegemee katiba ya maoni yetu bali ya ccm, Sitta ameanza kuonyesha uccm mapema tu na huko tuendako hali itakuwa mbaya zaidi.
Usidanganyike na taarifa za kwamba watanzania wanataka serikali 3. Simamia maoni yako binafsi kwa sababu ndio unayoyajua ya wengine unayasikia tu kupitia midomo ya wanasiasa.
 
Watu wasiokuwa na hoja utawajuwa tuu, kwani ni ccm pekee watakao changia? Mbona mnaanza uwoga mapema? Subiri mambo ndio yameanza safari ni ndefu c mlitaka katiba? Hv nyie mgeitengenezaje kama cyo michakato kama hii. Shame of opposition
 
acha kubwabwaja heee :dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance:tulieni ngoma bado mbichi
 
Sitta hajasoma na kuzielewa kanuni zilizopitishwa, hivyo ni muhimu wajumbe kumkumbusha now and then ama sivyo atawaburuza!!!
 
Back
Top Bottom