BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,508
- 11,897
Amesema hayo katika mahafali ya wanachuo!Kazungumzia suala la wabunge 2 kila jimbo haliwezikani.Pia ma rais 3 katika nchi moja haiwezekani watanzania wasikubali.Kama kawaida yake huwa hasemi hayo katika vikao rasmi vya serikali,yeye huzungumzia mtaani anapoalikwa.source ITV habari