Amesema hayo katika mahafali ya wanachuo!Kazungumzia suala la wabunge 2 kila jimbo haliwezikani.Pia ma rais 3 katika ncho moja haiwezekani watanzania wasikubali.Kama kawaida yake huwa hasemi hayo katika vikao rasmi vya serikali,yeye huzungumzia mtaani anapoalikwa.source ITV habari
Amesema hayo katika mahafali ya wanachuo!Kazungumzia suala la wabunge 2 kila jimbo haliwezikani.Pia ma rais 3 katika ncho moja haiwezekani watanzania wasikubali.Kama kawaida yake huwa hasemi hayo katika vikao rasmi vya serikali,yeye huzungumzia mtaani anapoalikwa.source ITV habari
This Sitta man is a
frustrated lot. Waliomdanganya wote wamemruka. Wamemfanyia kama
alivyomfanyia Mpendazoe. Malipo ni hapa hapa duniani. Habari za ahera ni
baadaye.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums