IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,226
- 1,919
Sitti Mtevu ametoa msaada wa vyombo vya kuhifadhia uchafu kwa hospitali ya Ilala kupitia Sitti Foundation. Vifaa hivyo vilipokelewa na mbunge wa Ilala Zungu. Swali hivi kweli watu wanakosa kumbukumbu au Aibu? Hivi kweli media na taasisi zina habarisha kitendo ambacho ni kizuri kutoka kwa mtu "tapeli" aliyegushi cheti cha kuzaliwa? Kwa jamii makini hili haliwezi kutokea kwani ni tendo la aibu kutokea kwenye hadhara kukaa meza kuu katika mazingira haya..wakuu hii imekaaje?