Sitti Mtemvu ameandika maneno hayo ya kujivua Umiss Tanzania katika Official Facebook Account yake.
Waweza kucheki Account hapa chini::::
https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=696930777051665&id=692947964116613&refid=17
Dah...Mkuu umeongea kwa uchungu sana na inaoneka una hasira sana na Lundenga na Kamati yake...%%% Whatsoever....ATAVUA TU....nina zake, akafie mbele, anaitia serikali aibu kubwa sana....
HIVI HIII IDARA ya UHAMIAJI...kazi yake ni nn..!!? Kwann wamelala na wanachafuliwa..!!? BASATA WAKO KIMYA..!!!! RITA wamesema wanachunguza wakati wanajua ame foji....nyaraka ziko..
==> SITTI committed CRIMINAL ACT....!!! Lazima ashitakiwe na Jamhuri ya Tanzania....mwizi huyu..!!
Bora tumpe dada yetu Miss no,2 kutoka uchagani kwakua alikua anastahili!Hata mimi nina wasiwasi huo Dr.........hawezi kuvua kirahisi hivyo.......kama kweli itakuwa burudani.........
Bora tumpe dada yetu Miss no,2 kutoka uchagani kwakua alikua anastahili!
Hii ni aibu kwa Lundenga. Hii inatoa picha ya kwamba kuna udanganyifu wa muda mrefu sasa arobaini imefika.
Hii ni aibu kwa Lundenga. Hii inatoa picha ya kwamba kuna udanganyifu wa muda mrefu sasa arobaini imefika.
Hajavua akaunt siyo yake kuna mtu anawachezea tu watu na yeye apate umaarufu.
Katiba OFF......SITTI ON