imefanya kazi nzuri ya kumuumbua LundengaHabari za jion Watanzania wenzangu,kutokana na kuwa nimekuwa nikisemwa sana,maneno mengi yasiyo na tija juu ya ili taji la Umiss Tanzania 2014 mpaka kupelekea nisiwe na amani na uhuru ndani ya nchi yangu Tanzania,kwa roho safi nimeamua mwenye kujivua taji hilo na kuacha wanayeona anastahili taji hili apewe ili niendelee na maisha yangu kwa amani,isiwe shida sana kwani sitegemi taji hili ili kuishi
HIVI NDIVYO ALIVYOPOST KWENYE WALL YAKE FB..FEW MINUTES PAST
#kazi kwake sasa Lundenga
Habari za jion Watanzania wenzangu,kutokana na kuwa nimekuwa nikisemwa sana,maneno mengi yasiyo na tija juu ya ili taji la Umiss Tanzania 2014 mpaka kupelekea nisiwe na amani na uhuru ndani ya nchi yangu Tanzania,kwa roho safi nimeamua mwenye kujivua taji hilo na kuacha wanayeona anastahili taji hili apewe ili niendelee na maisha yangu kwa amani,isiwe shida sana kwani sitegemi taji hili ili kuishi
HIVI NDIVYO ALIVYOPOST KWENYE WALL YAKE FB..FEW MINUTES PAST
#kazi kwake sasa Lundenga
what's important, maisha ni lazima yaendelee no matter what!
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini huyo ni Sitti Mtemvu!
Kuna mtu ana cheza na akili zenu!Time will tell
Baada ya mengi kuongelewa aamua kuchukua uamuzi mgumu ila unaoonekana kuwa ulikuwa ukisubiriwa na wengi...
*****
Not confirmed yet ila attachment inajieleza zaidi...
View attachment 196414
mlivyo mkomalia huyu dada mpaka kaamua kuvua taji basi na muikomalie ccm 2015 iondoke madarakani.
vya zamani vikibaki hata asingeanika rita wangeweza kuvujisha pia,heri angebadili jina halafu akanwe na wazazi wake hadharaniunajua hapa mchezo ulikuwa ni kuomba new birthcertificate kwa ajili ya miss Tanzania tu,vingine vyote vingebaki vya zamani,ndo ubaya wa kuanika maisha yako.
Hivi Miss Tz imefanyika lini?
Kama kweli kajivua basi ataje umri wake sahihi sasa. Na kama ana mtoto amwombe msamaha kwa kumkana.