Sitti Mtemvu ajivua taji la Miss Tanzania

Sitti Mtemvu ajivua taji la Miss Tanzania

Kama kudanganya cheti cha kuzaliwa n kosa ..na kama wakuu wa rita walisimamishwa kwa nn mhusika asifikishwe sehemu husika kuji bu mashtaka

maofisa wametimuliwa kama kweli tuelezwe ukweli wa cheti chake mahakaman
 
Watu wanavyeti feki vya elimu ktk ofisi za umma mpaka mawaziri,hayo mambo ya urembo madhara yake ktk jamii si sawa na kina murugo,mary nagu,nchimbi anajiita dk wakati yupo chuo..
 
Back
Top Bottom