Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 1,143
- 2,475
Dogo ana mchepuko wake umenizoea sana, mpaka imefikia hatua una wivu na mimi. Yaani usiponiona siku 2 unalalamika hatari.
Nilimkuta na rafiki yake mmoja nikamwambia namtaka anifanyie mpango wa namba, akakubali lakini hakuwahi nambia chochote na kama alipotezea. Juzi nulisafiri kikazi, wakati nipo huku nikamwambia nina mpango wa kuhamia huku, nilipoenda kikazi we ulituma ujumbe za kulalamika kwamba sijui ni kwanini umejisikia wivu.
Kuna siku ilikuwa saa saba usiku nilimdanganya sijarudi nyumbani kuna mahali nimekaa, si ukasema utoroke kwao uje nikachomoa. Je, wakuu huyu mchepuko mnamuonaje, anataka nimpige dushe au?
Nilimkuta na rafiki yake mmoja nikamwambia namtaka anifanyie mpango wa namba, akakubali lakini hakuwahi nambia chochote na kama alipotezea. Juzi nulisafiri kikazi, wakati nipo huku nikamwambia nina mpango wa kuhamia huku, nilipoenda kikazi we ulituma ujumbe za kulalamika kwamba sijui ni kwanini umejisikia wivu.
Kuna siku ilikuwa saa saba usiku nilimdanganya sijarudi nyumbani kuna mahali nimekaa, si ukasema utoroke kwao uje nikachomoa. Je, wakuu huyu mchepuko mnamuonaje, anataka nimpige dushe au?