Siungi mkono JWTZ kwenda kupigana na Rwanda au M23

Siungi mkono JWTZ kwenda kupigana na Rwanda au M23

Bando la wiki

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2023
Posts
911
Reaction score
3,017
Kuna watanzania wamepanic kuhusu M23 kuchukua eneo la Goma DRC na kauli ya Paul Kagame wa Rwanda.
Ndugu zangu vita sio jambo la mchezo wala la kuliomba. Lakini pia tukumbuke hakuna nchi ndogo kwenye uwanja wa vita.
Wote tumeshuhudia namna Israel taifa dogo kijeografia lakini ilivyo wapelekea moto mataifa makubwa kama Yemen, Lebanon, iran na Syria.

Kuendesha vita ni gharama kubwa ndugu zangu, embu fikiria nchi kama Russia yenye uchumi mkubwa wa karibia trilioni 3 USD na Ukraine yenye uchumi mkubwa karibia dola Billion 200 Leo mwaka wa nne wanapigana lakini kila siku Ukraine anapita huko kwenye mataifa makubwa kuomba msaada.

Sasa nchi yetu maskini yenye uchumi dhoofu chini ya dola bilioni 78 tunataka kuingia kwenye vita visivyo husu mipaka yetu moja kwa moja. Nchi maskini ambayo bado inaangaika kujenga vyoo na madawati mashuleni ikaingia tena kwenye vita. Nchi yetu bado inaugulia vita vya Kagera vya mwaka 1978 ambavyo viliondoka na hazina na vijana wetu wengi waliouwawa kwenye vita hiyo. Bara hata vita ya Kagera tulikuwa tunapigania mpaka wetu kule kagera.

Vita ya DRC na Rwanda (M23) haituhusu moja kwa moja kwa sababu hakuna eneo letu linagombewa kwenye vita hiyo.

Kuhusu biashara yetu kupita hapo Goma kuelekea DRC, ni suala la kufanya mazungumzo ili mizigo ya wateja wetu ipite salama eneo hilo.
Nasisitiza tu serikali iongeze ngome za kisasa za jeshi mipakani hasa mipaka ya Rwanda na Burundi ili hao waasi wasiingie kirahisi ndani ya mipaka ya JMT.
 
Hakuna atakayekuwa salama ikiwa mmoja wetu hayupo salama wewe.
Kuna EAC kuna SADC mapinduzi yoyote yanayoenda kinyune na utaratibu wa kikatiba ni haramu.
JWTZ haitaingia kwa jitihada zake pekee, bali kama mwanachama wa EAC au SADC.
Hao M23 wakimaliza DRC wataenda Burundi na wakipata nguvu zaidi watakuja hapa 😅
 
Hakuna atakayekuwa salama ikiwa mmoja wetu hayupo salama wewe.
Kuna EAC kuna SADC mapinduzi yoyote yanayoenda kinyune na utaratibu wa kikatiba ni haramu.
JWTZ haitaingia kwa jitihada zake pekee, bali kama mwanachama wa EAC au SADC.
Hao M23 wakimaliza DRC wataenda Burundi na wakipata nguvu zaidi watakuja hapa 😅
Nchi kama haitendi haki kwa wananchi wake lazima makundi kama haya yaibuke nchini kutetea kundi la wale wasiopewa kipaumbele kwenye keki ya taifa. Hivyo kama Tanzania nayo itaendeleza siasa za kikanda na kimkoa tegemea hayo makundi kama M23 yakiibuka Tanzania na nchi yoyote ile huku yakiwa na nguvu kubwa ya wananchi.
 
Ikionekana maslahi yetu yapo hatarini sio tu kuwapiga m23 bali tutaenda kumpiga hadi anaewatuma!

Hatutacheka na mbwa wala mwenye mbwa... Kwanza kupashapasha ni muhimu sometimes tutafute hata sehemu ya kufanyia mazoezi
 
Kuna watanzania wamepanic kuhusu M23 kuchukua eneo la Goma DRC na kauli ya Paul Kagame wa Rwanda.
Ndugu zangu vita sio jambo la mchezo wala la kuliomba. Lakini pia tukumbuke hakuna nchi ndogo kwenye uwanja wa vita.
Wote tumeshuhudia namna Israel taifa dogo kijeografia lakini ilivyo wapelekea moto mataifa makubwa kama Yemen, Lebanon, iran na Syria.

Kuendesha vita ni gharama kubwa ndugu zangu, embu fikiria nchi kama Russia yenye uchumi mkubwa wa karibia trilioni 3 USD na Ukraine yenye uchumi mkubwa karibia dola Billion 200 Leo mwaka wa nne wanapigana lakini kila siku Ukraine anapita huko kwenye mataifa makubwa kuomba msaada.

Sasa nchi yetu maskini yenye uchumi dhoofu chini ya dola bilioni 78 tunataka kuingia kwenye vita visivyo husu mipaka yetu moja kwa moja. Nchi maskini ambayo bado inaangaika kujenga vyoo na madawati mashuleni ikaingia tena kwenye vita. Nchi yetu bado inaugulia vita vya Kagera vya mwaka 1978 ambavyo viliondoka na hazina na vijana wetu wengi waliouwawa kwenye vita hiyo. Bara hata vita ya Kagera tulikuwa tunapigania mpaka wetu kule kagera.

Vita ya DRC na Rwanda (M23) haituhusu moja kwa moja kwa sababu hakuna eneo letu linagombewa kwenye vita hiyo.

Kuhusu biashara yetu kupita hapo Goma kuelekea DRC, ni suala la kufanya mazungumzo ili mizigo ya wateja wetu ipite salama eneo hilo.
Nasisitiza tu serikali iongeze ngome za kisasa za jeshi mipakani hasa mipaka ya Rwanda na Burundi ili hao waasi wasiingie kirahisi ndani ya mipaka ya JMT.
Acha jeshi letu nalo liende maana wakibaki hapa wanatumiwa tu na ccm kuhakikisha wanabaki madarakani. Kuliko wachukue mshahara wa bure ngoja wakaupate kihalali.
 
Ikionekana maslahi yetu yapo hatarini sio tu kuwapiga m23 bali tutaenda kumpiga hadi anaewatuma!

Hatutacheka na mbwa wala mwenye mbwa
Kwa uchumi gani ulionao bro au unadhani vita ya nchi ni sawa na ugomvi wa mtaani!
 
Waende tu. Kikubwa na sisi tunataka kıla wiki tanı kadhaa za madini adhimu zingine bongo. Yule tajiri kashindwa kulinda mali zake.
 
Hakuna atakayekuwa salama ikiwa mmoja wetu hayupo salama wewe.
Kuna EAC kuna SADC mapinduzi yoyote yanayoenda kinyune na utaratibu wa kikatiba ni haramu.
JWTZ haitaingia kwa jitihada zake pekee, bali kama mwanachama wa EAC au SADC.
Hao M23 wakimaliza DRC wataenda Burundi na wakipata nguvu zaidi watakuja hapa 😅
Acha hao m23 waje tu, tumechoka kutawaliwa na majizi ya ccm bila ridhaa yetu. Na ikitokea wakaja tutaonyesha nyumba zote za wanaccm ili wapewe hukumu yao hapa hapa duniani.
 
Kuna watanzania wamepanic kuhusu M23 kuchukua eneo la Goma DRC na kauli ya Paul Kagame wa Rwanda.
Ndugu zangu vita sio jambo la mchezo wala la kuliomba. Lakini pia tukumbuke hakuna nchi ndogo kwenye uwanja wa vita.
Wote tumeshuhudia namna Israel taifa dogo kijeografia lakini ilivyo wapelekea moto mataifa makubwa kama Yemen, Lebanon, iran na Syria.

Kuendesha vita ni gharama kubwa ndugu zangu, embu fikiria nchi kama Russia yenye uchumi mkubwa wa karibia trilioni 3 USD na Ukraine yenye uchumi mkubwa karibia dola Billion 200 Leo mwaka wa nne wanapigana lakini kila siku Ukraine anapita huko kwenye mataifa makubwa kuomba msaada.

Sasa nchi yetu maskini yenye uchumi dhoofu chini ya dola bilioni 78 tunataka kuingia kwenye vita visivyo husu mipaka yetu moja kwa moja. Nchi maskini ambayo bado inaangaika kujenga vyoo na madawati mashuleni ikaingia tena kwenye vita. Nchi yetu bado inaugulia vita vya Kagera vya mwaka 1978 ambavyo viliondoka na hazina na vijana wetu wengi waliouwawa kwenye vita hiyo. Bara hata vita ya Kagera tulikuwa tunapigania mpaka wetu kule kagera.

Vita ya DRC na Rwanda (M23) haituhusu moja kwa moja kwa sababu hakuna eneo letu linagombewa kwenye vita hiyo.

Kuhusu biashara yetu kupita hapo Goma kuelekea DRC, ni suala la kufanya mazungumzo ili mizigo ya wateja wetu ipite salama eneo hilo.
Nasisitiza tu serikali iongeze ngome za kisasa za jeshi mipakani hasa mipaka ya Rwanda na Burundi ili hao waasi wasiingie kirahisi ndani ya mipaka ya JMT.
Acha kumuogopa Mr.Slim
 
Acha jeshi letu nalo liende maana wakibaki hapa wanatumiwa tu na ccm kuhakikisha wanabaki madarakani. Kuliko wachukue mshahara wa bure ngoja wakaupate kihalali.
Kama wamekubali kutumika na ccm kuwabakiza madarakani, naunga mkono waende tu huko vitani wakafie huko huko.
 
Back
Top Bottom