Wengi wao walipa ziro kama itatumika grade ya zamani wengi watapata div 4 kwa ku assume wote waziro walikuwa na wastani wa marks 35 ambayo itakuwa D kwa sasa je ndio dhumuni la watahiniwa?daah,,,jamani tuwe waelewa,,hawasahishi karatasi bali wanarudia upangaji wa grade ambao huwa unatumika mashuleni sio ule ambao necta wametumia kwenye mtihani huo bila taarifa,,,,,tuwe waelewa,,,,
kama ni hivyo,hiyo ni kazi ya masaa machache tu,ni kuweka comment mpya tu kwenye software na matokeo yanabadilikaAchen kupotosha... Hakuna mtihan utakosahihishwa upya bali kuna upangaji mpya wa alama za ufahulu ambao hauchukui muda na almost ni kama mwezi mmoja tu.
Mkuu naona ww bado unasomeshwa hujui uchungu wakumsomesha mtoto na akafeli, wazee wenzangu watakuelimisha zaidi. Hapo kwenye red, inaonyesha kiwango cha upopompo wako.
Hapo inatafutwa haki halali ya mtu na sio vinginevyo.Mitihani haisahihishwi upya ila alama alizopata mtu zinawekwa ktk madaraja yaliyotumika ktk kuwaandaa wanafunzi.Mitihani ya shule na mock watoto walipimwa kwa viwango vya ufaulu vinavyojulikana lkn mtihani wa taifa viwango vikapandishwa zaidi.HAKI ITENDEKE
Mkuu naona ww bado unasomeshwa hujui uchungu wakumsomesha mtoto na akafeli, wazee wenzangu watakuelimisha zaidi. Hapo kwenye red, inaonyesha kiwango cha upopompo wako.
usahihishaji,umechangia vipi kufeli?naomba alosikiliza riporti anijuze
Nikwambie tu na mitusi yako haionyeshi unanitukana inaonyesha ni kiasi gani ziro haikwepeki kwako!! Unaogopa kurudia mtihani sababu utakosa wa kumpa lawama!!we ulieleta hii post mikundu yako,hujui watu tuliofanya mitihan then tukafeli jinc tulivyoumia.... km we unaona kurudia kufanya mtihan kazi rahisi peleka ------ yako yakafanye.. watu tunamshukuru mungu kwa kutupigania tupate haki yetu we unaleta mada za kisenge.. hakyamungu we m2 umenkera sana yaan.
MODS samahanin kwa matuc hili senge limenikera kwel ila km mtanipiga ban poa 2 ila icwe ya mda mrefu sana
Je unadhani ukitumika huo utaratibu matokeo yatakuwa mazuri? Maana ziro zilkuwa nyingi ambapo walitumia 35 kama F sasa hiyo itskuwa kama D huoni bado watapunguza ziro kdg na kwenda four?
Mtihani hausahihishwi upya bali NECTA wameagizwa kugrade marks za wanafunzi upya kwa kufuata viwango vilivyotumiwa 2011 na miaka ya nyuma. Imeonekana kuwa mwaka 2012 walitumia viwango vipya ambavyo wamebadili wenyewe bila kushirikisha wadau wengine wa elimu. Mfano F katika somo hutolewa kwa alama 0 hadi 20. Wao walibadilisha na kufanya iwe 0 hadi 34 bila kuwashirikisha wadau wengine wa elimu.Watanzania wenzangu Serikali imetanganza kufuta matokeo yote ya kidato cha nne na kusahhisha upya
Binafsi sioni kama ndio dawa ya tatizo hilo!! Serikali ingeweza kuwafanya watahiniwa warudie tena mtihani wao!!Sababu hata ambao walichora Zombie wajipe muda wa kujisomea upya!! Baadhi ya wanafunzi waliomba kusahihishiwa upya lakini matokeo yalionyesha wengi walifeli zaidi!!Nikionacho mimi ni wizara kujaribu kufuta hizo zero ili kuweka takwimu sawa ila hatutakua tumeisaidia Elimu yenyewe kitaaluma!!
usiombe kupata alama usizotarajia kwa mfano kuna watu walokuwa na juhudi na katika masomo yao ya mtihan wa mock wamepata dv 2 au 1.Ila necta wamepata four za 26 up tu 29.kuna huwiano wowote hapo??UNGA MKONO WEWE
Mtihani hausahihishwi upya bali NECTA wameagizwa kugrade marks za wanafunzi upya kwa kufuata viwango vilivyotumiwa 2011 na miaka ya nyuma. Imeonekana kuwa mwaka 2012 walitumia viwango vipya ambavyo wamebadili wenyewe bila kushirikisha wadau wengine wa elimu. Mfano F katika somo hutolewa kwa alama 0 hadi 20. Wao walibadilisha na kufanya iwe 0 hadi 34 bila kuwashirikisha wadau wengine wa elimu.
we ulieleta hii post mikundu yako,hujui watu tuliofanya mitihan then tukafeli jinc tulivyoumia.... km we unaona kurudia kufanya mtihan kazi rahisi peleka ------ yako yakafanye.. watu tunamshukuru mungu kwa kutupigania tupate haki yetu we unaleta mada za kisenge.. hakyamungu we m2 umenkera sana yaan.
MODS samahanin kwa matuc hili senge limenikera kwel ila km mtanipiga ban poa 2 ila icwe ya mda mrefu sana