ANTHONY KWEKA
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 958
- 379
Mie naona WANAFUNZI WOTE WA 2012 WANGEFANYA MITIHANI MINGINE UPYA.
Na kama kweli Necta walibadili grade za ufaulu bila wadau kufahamu ni WAPUUZI ona imeshagharimu maisha ya watu, na hata uchumi wa nchi.
Na kama kweli Necta walibadili grade za ufaulu bila wadau kufahamu ni WAPUUZI ona imeshagharimu maisha ya watu, na hata uchumi wa nchi.