MHASIBU HALISI
Member
- Aug 10, 2011
- 35
- 13
Mkuu ile ibara ya 207 ya rasimu imemtaja CAG, na kwamba ataidhinisha matumizi kutoka mfuko mkuu wa Hazina ya serikali kulingana na masharti yatakayowekwa. Sasa maombi ya matumizi atakayoyaidhinisha yanatakiwa yafanywe na mtu na huyo mtu ndio PMG. Katiba ina principle ya simplicity bila hivyo nadhani wangetajwa watu wote na kutengeneza kitu kigumu kusomeka na kutumika.