MHASIBU HALISI
Member
- Aug 10, 2011
- 35
- 13
Yaani mimi binafsi siungi mkono kabisa rasimu hii. Kwa kuwa ukiisoma rasimu nzima hakuna hata sehemu moja imetambua uwepo wa Mhasibu Mkuu wa serikali. Yaani taaluma hii ya uhasibu haikuguswa kabisa ! Nataka katiba mya ilitambue hilo !