Sivutiwi kabisa na haya mabeseni ya kuogea (Bathtub)

Sivutiwi kabisa na haya mabeseni ya kuogea (Bathtub)

Mkuu

Kuna majani huwa yanawekwa kwenye hizo
bathtub ….

Kama una maradhi au stress za tozo zinaondoka…..

Pia yanaongeza umri wa kuishi…..haijalishi

changamoto za tozo, Mgao wa umeme wala maji….

Mwenye kuyajua hayo majani ayaweke hapa…..

Shukrani!
Yanaitwa Mundende yapo mengi kongo
 
Mkuu kuoga na shower hata ujisugue vipi kuna uchafu kwenye ngozi huwezi utoa kwa haraka bila kuloweka ngozi au kuchezea maji muda mrefu.

Umeshawahi kufua kwa muda mrefu ukawa unacheza na maji muda mrefu miguuni ukinawa nini kinatoka?

Tunaoga sawa ila Bongo yetu hii ndio mana tuna rangi tatu tatu kwenye ngozi zetu, hii ni kutokana na kuoga Dk 10 ushatoka bafuni.

Bathtub ni nzuri ukiondoa Mambo mengine yoteee ila inasaidia sana kukuloweka mwili mzima ambapo ukija kumalizia kuoga tena ukajisugua unatoka bafuni umetakata kweli.

Bafuni Kuoga ni process inayochukua 30min to 1hr Hiyo ndio inaitwa Kuoga, chini ya hapo unakua umeenda Kunawa mwili mzima sio kuoga.

Tuogeni jamani.. Bathtub muhimu.
 
Jina la lodge tafadhali na ni shingap maana lodge zetu hizi za 15k hamna mambo hayo
Hapa Temeke kwa sokota ipo Lodge moja inaitwa Crescent room 25k lipo hilo dubwasha ila binafsi halikunivutia maana nimelikuta lichafu afu nilikua na ugwadu wa mbususu ya mtalaka wangu
 
Hapa Temeke kwa sokota ipo Lodge moja inaitwa Crescent room 25k lipo hilo dubwasha ila binafsi halikunivutia maana nimelikuta lichafu afu nilikua na ugwadu wa mbususu ya mtalaka wangu
Halijakuvutia wakati ulikua unaoga kila saa na kukojolea [emoji23][emoji23]
 
Make sure hilo dude umeliweka Masterroom.... unalitumia wewe mwenyewe...

Usafi wa haya madude ni muhimu sana,,,ndio maana hotels nyingi haya madude yamewashinda usafi..

Yamekuwa yanabadilika hadi rangi
 
Unaweza kutoa kile kitu inayotoa, kuyaondoa maji, kublock maji ukabadilisha mara kadhaa utakavyo ikikupendeza. Wengi wa bathtub na shower. Bathtub ni ukiwa free huna haraka hauendi kazini otherwise unatumia shower head.

Bath tub si kwa ajili ya kuoga, ni kwa ajili ya relaxation, unalitumia ukiwa na muda wa ku relax, unakuwa hata na simu unachati na juisi, ukitaka kuoga lazima pawe na shower, humo kwenye bath tub utatumia kusimama tu lakini maji yatatoka kwenye shower
 
Back
Top Bottom