Waipe wizara ya afya hizo hela wanunue machine ya ct scan ifungwe hospitali ya Mbeya
Mama achana na kiingereza, siyo kiwango chako! Hapo wamesoma alama za nyakati!
Kamati ya Bunge la katiba imesitisha siwa kutokana na gharama kubwa ya utengenezaji wake. Eti wananchi hawatawaelewa
=================================
Maelezo ya Mjadala huo wa Fimbo hiyo Fuata | https://www.jamiiforums.com/katiba-...a-zaidi-ya-milioni-500-kutengeneza-fimbo.html