Siwaelewi Wahudumu wa Baa!

Siwaelewi Wahudumu wa Baa!

Hmaster

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
346
Reaction score
86
Ukienda baa peke yako kama wewe ni mwanaume utapewa huduma kwa unyenyekevu sana na wahudumu hawa wa kike hadi utajiona kweli wewe ni mfalme kama ule usemi usemavyo "mteja ni mfalme". Kabla hujatulia kwenye kiti, utaona mdada keshafika zamani huku akitabasamu na kukusalimia kabla ya kukuuliza unahitaji huduma gani. Utakapompa order haraka atakuletea kinywaji na kabla hajafungua ataanza kwa kufuta meza kisha atakufungulia kinywaji. Baada ya hapo atasuuza glass kwa kutumia kinywaji hichohicho na kisha atakumiminia kinywaji chako katika glass na mwisho atakukaribisha. Hatakupa change yako kwanza ila ataacha kapu tray lake hapo kwako na kwa maana hiyo hapo ndiyo patakuwa centre yake kuu, ingawa hamuongei. Mtu mwingine akija atamuhudumia kisha anarudi hapohapo kwako.
Cha kushangaza ni pale utakapokwenda baa na mdada! Muhudumu utamwita wewe, akija hana salamu wala nini. Atakuuliza aina ya vinywaji mtakavyo na akileta anakuja na change yote hafuti meza, akishafungua tu anaishia na hutamwona tena hadi umwite ili awaongeze vinywaji. Hata lugha yao huwa ni ya mkato sana wakiona una demu. Ukimweleza glass ina ufa nibadilishie, atakwambia zimeisha au zote zipo hivyo. Siwaelewi ni kwanini wanakuwa hivyo. Nawasilisha!:angry:
 
Ha ha haaaa mkuu ukiwa alone si anatangaza biashara!!!!
 
Ukienda baa peke yako kama wewe ni mwanaume utapewa huduma kwa unyenyekevu sana na wahudumu hawa wa kike hadi utajiona kweli wewe ni mfalme kama ule usemi usemavyo "mteja ni mfalme". Kabla hujatulia kwenye kiti, utaona mdada keshafika zamani huku akitabasamu na kukusalimia kabla ya kukuuliza unahitaji huduma gani. Utakapompa order haraka atakuletea kinywaji na kabla hajafungua ataanza kwa kufuta meza kisha atakufungulia kinywaji. Baada ya hapo atasuuza glass kwa kutumia kinywaji hichohicho na kisha atakumiminia kinywaji chako katika glass na mwisho atakukaribisha. Hatakupa change yako kwanza ila ataacha kapu tray lake hapo kwako na kwa maana hiyo hapo ndiyo patakuwa centre yake kuu, ingawa hamuongei. Mtu mwingine akija atamuhudumia kisha anarudi hapohapo kwako.
Cha kushangaza ni pale utakapokwenda baa na mdada! Muhudumu utamwita wewe, akija hana salamu wala nini. Atakuuliza aina ya vinywaji mtakavyo na akileta anakuja na change yote hafuti meza, akishafungua tu anaishia na hutamwona tena hadi umwite ili awaongeze vinywaji. Hata lugha yao huwa ni ya mkato sana wakiona una demu. Ukimweleza glass ina ufa nibadilishie, atakwambia zimeisha au zote zipo hivyo. Siwaelewi ni kwanini wanakuwa hivyo. Nawasilisha!:angry:

Mkuu
Acha kwenda Bar
Nunua kilaji chako nywea homu na waifu au demu wako (kama ulivyosema)
Bar unaweza kubambikiziwa hata yasiyokuhusu
 
jali maisha yako
ni opportunists wanataka kuingiza siku ndiyo maana wapo hivyo,
mtu anapokua mwenyewe(single) ni simple sn ila ni hatari sana kama wewe unavyoona tofauti ya huduma wanazotoa ukiwa mwenyewe na ukiwa na mtu mwingine
 
Mkuu
Acha kwenda Bar
Nunua kilaji chako nywea homu na waifu au demu wako (kama ulivyosema)
Bar unaweza kubambikiziwa hata yasiyokuhusu

Loh!DEMU tena???Haya bwana!Mwenye mada unataka wakuchekee wakati unaonyesha kwamba hupatikani?Wa wapi wewe?
 
Mkuu
Acha kwenda Bar
Nunua kilaji chako nywea homu na waifu au demu wako (kama ulivyosema)
Bar unaweza kubambikiziwa hata yasiyokuhusu

Du mkuu wakati mwngne home huwa kama kilaji siyo kitamu hv, ila mie wkt mwng huwa nagongo mvinyo yangu home.
 
Loh!DEMU tena???Haya bwana!Mwenye mada unataka wakuchekee wakati unaonyesha kwamba hupatikani?Wa wapi wewe?

Si ndio mtoa mada alivyosema, msome vizuri
 
Ukienda baa peke yako kama wewe ni mwanaume utapewa huduma kwa unyenyekevu sana na wahudumu hawa wa kike hadi utajiona kweli wewe ni mfalme kama ule usemi usemavyo "mteja ni mfalme". Kabla hujatulia kwenye kiti, utaona mdada keshafika zamani huku akitabasamu na kukusalimia kabla ya kukuuliza unahitaji huduma gani. Utakapompa order haraka atakuletea kinywaji na kabla hajafungua ataanza kwa kufuta meza kisha atakufungulia kinywaji. Baada ya hapo atasuuza glass kwa kutumia kinywaji hichohicho na kisha atakumiminia kinywaji chako katika glass na mwisho atakukaribisha. Hatakupa change yako kwanza ila ataacha kapu tray lake hapo kwako na kwa maana hiyo hapo ndiyo patakuwa centre yake kuu, ingawa hamuongei. Mtu mwingine akija atamuhudumia kisha anarudi hapohapo kwako.
Cha kushangaza ni pale utakapokwenda baa na mdada! Muhudumu utamwita wewe, akija hana salamu wala nini. Atakuuliza aina ya vinywaji mtakavyo na akileta anakuja na change yote hafuti meza, akishafungua tu anaishia na hutamwona tena hadi umwite ili awaongeze vinywaji. Hata lugha yao huwa ni ya mkato sana wakiona una demu. Ukimweleza glass ina ufa nibadilishie, atakwambia zimeisha au zote zipo hivyo. Siwaelewi ni kwanini wanakuwa hivyo. Nawasilisha!:angry:


Hmaster unakunywa bia gani,
Chui chui au Castle?,
hebu mwambie huyo muhudumu akuongeze tena mbili za barrriiiiiddddddi!!!!!!
 
Mkuu
Acha kwenda Bar
Nunua kilaji chako nywea homu na waifu au demu wako
(kama ulivyosema)
Bar unaweza kubambikiziwa hata yasiyokuhusu

CPU akiacha kwenda bar halafu ndo iweje?? hiyo bluu
Mvinyo wa home si mtamu kabisa hiyo red
 
Du mkuu wakati mwngne home huwa kama kilaji siyo kitamu hv, ila mie wkt mwng huwa nagongo mvinyo yangu home.

Mkuu
Ukinywea home unaepuka mambo mengi, ushawishi wa kuzini, vurugu za hapa na pale, matusi na dharau (kama alivyodai mtoa mada) na hata usalama wako ikitokea umelala au umezidiwa na kilaji.

Faida za kunywea kilaji Bar hata sizijui, hasa kama umeenda peke yako.
Ni kubadili mazoea tu mkuu, home utapaona patamu balaa, tena ukiwa unanyweshwa na waif . . . yaani unagalagala weeeee, hata sebuleni, coridoni au stoo unalala fresh bila kuhofia usalama wako
 
Dah! Kweli.
Kuna kirestaurant kimoja huku nilipo yaani wadada hatusikilizwi kabisa. Ngoja waje vidume sasa.
Khaa!
Wanakera hawa watu.
 
Kwahiyo we unafuata mkumbo?Even more disappointed!

Mi naenda sambamba na lugha yake, sio kwamba na mimi ni lugha yangu.
Ushaniona mimi ktk sredi zangu au comment zangu natumia neno DEMU???

Mmmmmmmmmh . . . . alaaaaaaaa kumbe
Najua mamito unawaza ipo siku nitakuita DEMU :lol::lol::lol::lol::lol::lol:
Ondoa shaka swt
 
CPU akiacha kwenda bar halafu ndo iweje?? hiyo bluu
Mvinyo wa home si mtamu kabisa hiyo red

Utamu wa kunywea bar ndo upi??
Au wa kutamani wahudumu wa bar baada ya kulewa???
Kuchunwa na kusachiwa na machangu akizimisha gari bar????
 
Dah! Kweli.
Kuna kirestaurant kimoja huku nilipo yaani wadada hatusikilizwi kabisa. Ngoja waje vidume sasa.
Khaa!
Wanakera hawa watu.

Anzisha chako, akikukera mhudumu unatimua :lol::lol:
 
Ukienda baa peke yako kama wewe ni mwanaume utapewa huduma kwa unyenyekevu sana na wahudumu hawa wa kike hadi utajiona kweli wewe ni mfalme kama ule usemi usemavyo "mteja ni mfalme". Kabla hujatulia kwenye kiti, utaona mdada keshafika zamani huku akitabasamu na kukusalimia kabla ya kukuuliza unahitaji huduma gani. Utakapompa order haraka atakuletea kinywaji na kabla hajafungua ataanza kwa kufuta meza kisha atakufungulia kinywaji. Baada ya hapo atasuuza glass kwa kutumia kinywaji hichohicho na kisha atakumiminia kinywaji chako katika glass na mwisho atakukaribisha. Hatakupa change yako kwanza ila ataacha kapu tray lake hapo kwako na kwa maana hiyo hapo ndiyo patakuwa centre yake kuu, ingawa hamuongei. Mtu mwingine akija atamuhudumia kisha anarudi hapohapo kwako.
Cha kushangaza ni pale utakapokwenda baa na mdada! Muhudumu utamwita wewe, akija hana salamu wala nini. Atakuuliza aina ya vinywaji mtakavyo na akileta anakuja na change yote hafuti meza, akishafungua tu anaishia na hutamwona tena hadi umwite ili awaongeze vinywaji. Hata lugha yao huwa ni ya mkato sana wakiona una demu. Ukimweleza glass ina ufa nibadilishie, atakwambia zimeisha au zote zipo hivyo. Siwaelewi ni kwanini wanakuwa hivyo. Nawasilisha!:angry:

Majawabu unayo.
 
Utamu wa kunywea bar ndo upi??
Au wa kutamani wahudumu wa bar baada ya kulewa???
Kuchunwa na kusachiwa na machangu akizimisha gari bar????

Utachunwaje wakati uko na wife au demu wako???
Na hizo pombe (unywaji) mpaka unazima sio unywaji pombe huo ni ulevi
 
Mi naenda sambamba na lugha yake, sio kwamba na mimi ni lugha yangu.
Ushaniona mimi ktk sredi zangu au comment zangu natumia neno DEMU???

Mmmmmmmmmh . . . . alaaaaaaaa kumbe
Najua mamito unawaza ipo siku nitakuita DEMU :lol::lol::lol::lol::lol::lol:
Ondoa shaka swt

Unatakiwa uonyeshe mfano ili asirudie tena bwana!Ila afadhali umesema hutoniita hivyo maana..........!
 
Nunua kilaji chako nywea homu

Vya hom havinogagi,
Raha ya bia uletewe na weita.
Na inanoga zaidi anapoimimina iliyobaki kwenye glasi na kukuuliza: "samahani kaka nikuongeze nyingine?"
Na wewe unajibu "bia za hapa kwenu tamu sana, mnaunga nini hivi?, lete ingine nawe chukua kinywaji chako"
ctd
 
Back
Top Bottom