King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
huyo mbea humjui?
Hongera sana True Boy hustle hard,naye madee nyumba yake kila siku inabadirka thamani mara 200m mara 120m haieleweki.....ila uza hiyo passo uende hata Mark X au Murrano.
Mkuu acha ushamba, utachekwa. Nani kakwambia hayo madishi ya PF hayatumiki? Kwa taarifa yako kuna baadhi ya satellites huwezi kushika kwa madishi madogo, lazima uwe nalo kubwa, aidha la nyacu au kama hilo pichani. By the way tembelea thread yetu kule kwenye gadgets ujionee madishi hayo yanavyobadili ulimwengu wa digitali...coz naona dish la TV ambalo kwa sasa hayo hayatumik sasa cjui alilinua wakati ameanza kujenga au alilikuta lipo so inabid aliache kama alivyolikuta
Ni wivu au?Dish limechakaa kama la miaka mitano iliyopita au alihama nalo? Hiyo nyumba itakuwa imefanyiwa renovation tu tena inawezekana kwa pesa zisizozidi mil 30
Lengo hasa la commenta yako ni lipi? Kuponda nyumba ya Ney ama kumsaidia kuiboresha? Msio na nyumba mna maneno sana.Bustani ya hiyo nyumba na hilo Dish linaonekana ni nyumba ya 5yrs hivi toka imejengwa...amenunu
Huyu binti si aliwekaga kule twitter kibamia cha ney au nakosea
Shoga ukiona Mwanaume kajenga au kanunua hajakwambia eti suprize ujue havikuhusu hivyo so kesho na keshokutwa Utaondoka na Begi lako tu ...Tafuta Vyako na wewe
Shoga ukiona Mwanaume kajenga au kanunua hajakwambia eti suprize ujue havikuhusu hivyo so kesho na keshokutwa Utaondoka na Begi lako tu ...Tafuta Vyako na wewe
Hivi ni kweli Bongo fleva inalipa kiasi hiki? Au pembeni kuna mambo yetu ya sembe?
All in all Big up sana Ney kwa mafanikio yako.