Siwema wa Nay wa Mitego atiwa mbaroni, kisa ni kumpiga picha za uchi na kigogo wa Serikali

Siwema wa Nay wa Mitego atiwa mbaroni, kisa ni kumpiga picha za uchi na kigogo wa Serikali

Kazi yake kubwa anajiuza ,niliwai pata namba yake nikawa namjaribu akaniambia nimtumie ticket ya ndege biznes class na gharama dolla 5000 kwa siku mwisho dolla 3000 nilikuwa nataka kuprove tu,ndio nikaamini Dinazarde

Duh aisee nilikuwa najiuliza inakwaje anapiga bata za nguvu vile,ukisema hivo sikatai kabisa
 
Last edited by a moderator:
Makubaliano ilikuwa anunuliwe gari halafu afute hizo picha lakini hakuzifuta, amefanya hizo picha kuwa mtaji, ataisoma namba sasa

mi nashindwa elewa....,siwewa alimpga picha enzi izooo...akaja kuishi na ney wakazaa jamaa akaoa mwingine
baada ya kuachana na ney ndo kapeleka picha na jamaa kakubali kuingia gharama za gari?????
 
Kazi yake kubwa anajiuza ,niliwai pata namba yake nikawa namjaribu akaniambia nimtumie ticket ya ndege biznes class na gharama dolla 5000 kwa siku mwisho dolla 3000 nilikuwa nataka kuprove tu,ndio nikaamini Dinazarde

Usisahau pia ni punda
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Ah ah Ndo uwezo wako wa kufikiri umefika hapo... Nay alimuacha siwema baada ya kigogo kumvalisha Pete..kigogo naye akaamua oa mwanamke mwengine Ndo siwema akamaliza hasira kwa kumblackmail kigogo

Nay hakumuacha sababu ya hili ili sakata lilivuma enzi bidada mjamwepesi mzigo bado haujatuna, vyombo vya udaku mitandao ilimwaga msosi hadharani Nay akapigana kuizima.
 
Kazi yake kubwa anajiuza ,niliwai pata namba yake nikawa namjaribu akaniambia nimtumie ticket ya ndege biznes class na gharama dolla 5000 kwa siku mwisho dolla 3000 nilikuwa nataka kuprove tu,ndio nikaamini Dinazarde

Makubwa... Kwa hiyo anauza bidhaa hata kabla haijaonwa na mnunuzi?
 
Last edited by a moderator:
hata ktk msafara wa mamba nao kenge wamo...huyo demu anajifanya mafia eeh!!
 
Hivi aliacha kazi precision air Mwanza au ilikua danganya watu tu.

sio kuacha kwa kupenda,nasikia alifukuzwa..sshv picha ni za dukani tu,sishangai akijiingiza kweny utapeli,hawa watu hawaridhiki kabisaa na vya halali
 
Makubaliano ilikuwa anunuliwe gari halafu afute hizo picha lakini hakuzifuta, amefanya hizo picha kuwa mtaji, ataisoma namba sasa

Yaan mjinga kweli,sasa na gari atalisikia tu. Uwiiiii,kwakweli usupastaa kazi sn aisee.
 
sio kuacha kwa kupenda,nasikia alifukuzwa..sshv picha ni za dukani tu,sishangai akijiingiza kweny utapeli,hawa watu hawaridhiki kabisaa na vya halali

Alifukuzwq kazi kisa niniii
 
Back
Top Bottom