Mangi shangali
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 533
- 820
Habari zenu..
Juzi nilikuwa Dar maeneo ya Mabibo kweli Dar sio sehemu pakuishi watu. Kwanza vijana wa ovyo sana, wanajiona wajanja halafu pesa hawana, nguo zao sasa za ajabu kweli.
Joto kama jehanamu ndani mtiti nje mtiti, vile vinyumba vyao vifupi kama mabanda ya kufugia nguruwe.
Kuna kasumba mbaya sana, mtoto hamuheshimu mkubwa, yani wanaishi kama kambale ajulikani mkubwa nani mtoto nani.
Vyakuka vya kiwaki mimi siwezi kula chips hata siku moja, mikuku ya kisasa daah mnamkuta kijana anakula chips tomato nyingi na mikuku ya kisasa ndo maana vijana wa Dar hawana nguvu za kiume
Mimi nitaishi Mwanza, Shinyang, Musoma, Mbeya, Iringa, Moshi ila sio Dar
Juzi nilikuwa Dar maeneo ya Mabibo kweli Dar sio sehemu pakuishi watu. Kwanza vijana wa ovyo sana, wanajiona wajanja halafu pesa hawana, nguo zao sasa za ajabu kweli.
Joto kama jehanamu ndani mtiti nje mtiti, vile vinyumba vyao vifupi kama mabanda ya kufugia nguruwe.
Kuna kasumba mbaya sana, mtoto hamuheshimu mkubwa, yani wanaishi kama kambale ajulikani mkubwa nani mtoto nani.
Vyakuka vya kiwaki mimi siwezi kula chips hata siku moja, mikuku ya kisasa daah mnamkuta kijana anakula chips tomato nyingi na mikuku ya kisasa ndo maana vijana wa Dar hawana nguvu za kiume
Mimi nitaishi Mwanza, Shinyang, Musoma, Mbeya, Iringa, Moshi ila sio Dar