Siwezi kukuoa Kwa sababu nimekupa ujauzito!

Siwezi kukuoa Kwa sababu nimekupa ujauzito!

Wengi hawakumwagia ndani na mimba zimetunga.
Njia salama ya kujikinga na mimba ni Kutumia kondomu, au kutokufanya Kabisa.
Au Kutumia zile njia zingine za Uzazi wa Mpango.

Kumwagia ndani hakujawahi kuwa mbinu ya kuzuia mimba. Na hii imewagharimu wengi Mno.
Kutokumwagia ndani,
Nmeitumia tangu balehe mpk Sasa nna 42
Sijawai kuzaa na mwanamke kwa bahat mbaya
Hata watoto Wangu kwny ndoa nmewazaa kwa mpangilio kwasababu ya mfumo huo.
 
Kutokumwagia ndani,
Nmeitumia tangu balehe mpk Sasa nna 42
Sijawai kuzaa na mwanamke bahat mbaya
Hata watoto Wangu kwny ndoa nmewazaa kwa mpangilio kwasababu ya mfumo huo.

Tatizo la njia hiyo haiapply Kwa Watu wote.

Madaktari wapo humu, na Baadhi ya wanaume wapo humu ambao walitumia mbinu hiyo ya kumwagia nje lakini matokeo yalipotoka wakaambiwa wametungisha Mimba.

Mbinu hiyo inahitaji MTU mzoefu Sana. Ambaye anauwezo wa kujidhibiti na kujua na namna ya kuchomoka Kabla ya manii za Kwanza hazijaingia ukeni
 
Ahsante sana tycoon, ujumbe mzuri sana huu..
Sadly utaanguka kwenye masikio ya viziwi..
 
Binafs naamini sio kila mwanamke ni wa kuzaa nae, hasa yule ambae unajua kabisa huna mpango wa kumuoa.

Tusiwachezee mabinti na kuwafanya singo mother Kisha tuje kuwasimanga humu

Neno kuchezewa linamaanisha Jambo Gani Mkuu.

Mwanamke kama hataki kuchezewa anatakiwa afuate Kanuni. Asikubali kulala na Mwanaume mpaka Ndoa. Hiyo ndio Kanuni.

Hakuna mwanaume mwenye wazo la kumchezea Mwanamke. Ila Sisi wanaume tupo kwaajili ya kufurahisha Nafsi na miili yetu.

Nasisitiza, hakuna Binti anayechezewa,

Mabinti wanaungana na wahuni Kwa sababu NAO ni wahuni tuu.
Kama mabinti wangewasikiliza wazazi na wazee wao wala hayo yasingewapata.

Kumuonea huruma MTU mjinga aliyeamua kujitesa kimakusudi huo NAO ni Uzuzu.
 
Back
Top Bottom