Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Nikweli Bella yupo sahihi.
Lakini tukirudi kwenye ustaarabu wa mTanzania pindi mtu anapo fariki.... tuna muheshimu, hatuyasemi yake mabaya isipokua mema tu, tuna shiriki msiba pamoja na mazishi yake kikamilifu na kadhalika....
Huo ndio uTanzania
Lakini tukirudi kwenye ustaarabu wa mTanzania pindi mtu anapo fariki.... tuna muheshimu, hatuyasemi yake mabaya isipokua mema tu, tuna shiriki msiba pamoja na mazishi yake kikamilifu na kadhalika....
Huo ndio uTanzania