“Siwezi kumposti Godzilla, sio rafiki yangu, unafki tu” – Christian Bella

“Siwezi kumposti Godzilla, sio rafiki yangu, unafki tu” – Christian Bella

Nikweli Bella yupo sahihi.
Lakini tukirudi kwenye ustaarabu wa mTanzania pindi mtu anapo fariki.... tuna muheshimu, hatuyasemi yake mabaya isipokua mema tu, tuna shiriki msiba pamoja na mazishi yake kikamilifu na kadhalika....
Huo ndio uTanzania
 
Huyu Jamaa kichwa ake iko mayi mingi.

Kuposti kuna husiana vipi na urafiki ama la.

Nadhani Mtu yeyote kama una wafuatiliaji wengi kwenye page yako basi unaweza kuposti tu kama njia ya kuwataarifu wale wanaokufuatilia.

Shabiki yeyote wa muziki anapo posti haimaanishi muhusika ni rafiki yake.

Waweza kuposti Mwanasiasa, Mwanahabari n.k, sio swala la urafiki hapa.


elimu ndo tatizo, Bella kakosea Sana
 
Back
Top Bottom