Huyu Jamaa kichwa ake iko mayi mingi.
Kuposti kuna husiana vipi na urafiki ama la.
Nadhani Mtu yeyote kama una wafuatiliaji wengi kwenye page yako basi unaweza kuposti tu kama njia ya kuwataarifu wale wanaokufuatilia.
Shabiki yeyote wa muziki anapo posti haimaanishi muhusika ni rafiki yake.
Waweza kuposti Mwanasiasa, Mwanahabari n.k, sio swala la urafiki hapa.