KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
😂😂 Afinywe vizuri tuWatu tunaitwa mama siku hizi na ni kharaam kumuita mke mama lakini siku hizi utaskia "nambie mama,nini mama,tatizo likowapi hapo mamangu''...... nasisitiza hajarogwa bado.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 Afinywe vizuri tuWatu tunaitwa mama siku hizi na ni kharaam kumuita mke mama lakini siku hizi utaskia "nambie mama,nini mama,tatizo likowapi hapo mamangu''...... nasisitiza hajarogwa bado.
Wewe ni manga tu hakuna cha magie..🤣Hujampenda tu, ukimpenda hutoweza kumuita jina lake. hauko romantic kabisa.
Embu pata picha mfano mdada anaitwa mangadelena😉 afu ana mpenzi anafupisha jina lake anamuita mangada🙂 badala ya kimuita kimahaa.... just ....😍Magie😍
Kama mie tuNamuitaga tu jina lake mambo ya kumuita baby sijui mpenzi sijui honey naonaga ulimi mzito na iyo ni kwa mademu zangu ote niliokuwaga nao
Maky unaiita kichaga makiiHujampenda tu, ukimpenda hutoweza kumuita jina lake. hauko romantic kabisa.
Embu pata picha mfano mdada anaitwa mangadelena[emoji6] afu ana mpenzi anafupisha jina lake anamuita mangada[emoji846] badala ya kimuita kimahaa.... just ....[emoji7]Magie[emoji7]
Edit ilifanikiwa?Hahaha kuna mtu nilibahatika kuona alivyonisave.. kanisave jina, cheo na mahali pa kazi like ‘Depal mlinzi Suma JKT
Nikamwambia edit, Sijapenda… unanisevuje hivyo sasa?
Hhahahha hatari..Mimi nitamuita kimahaba may b kweny texts ila tukiwa wot n ngum San cjui kwnn hat nkijlazimisha nashindwa
Watu tunaitwa mama siku hizi na ni kharaam kumuita mke mama lakini siku hizi utaskia "nambie mama,nini mama,tatizo likowapi hapo mamangu''...... nasisitiza hajarogwa bado.
Sasa Mwantumu unataka litamkwaje kimahaba? [emoji23][emoji23]
Haswaaa tupate kupumua😂😂 Afinywe vizuri tu
WabovuNamuitaga tu jina lake mambo ya kumuita baby sijui mpenzi sijui honey naonaga ulimi mzito na iyo ni kwa mademu zangu ote niliokuwaga nao
Umeona heeeh!Na linafeeling zake amazing..
Napendaga 🙈
ACHENI KUJICHOSHAKumuita kwa jina lake sio mbaya,tatizo linaanzia pale kwenye namna ya kulitamka hilo jina,ili ionekane angalau kuna mahaba ndani yake!