Siwezi kununua mbwa wa kizungu Sh. Milioni 3 kwa sababu hawana utofauti na mbwa koko

uzio usio onekana

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2019
Posts
836
Reaction score
2,658
Na kinachowatofautisha ni mafunzo tu.

Kwa sababu hata huyo mbwa wa kizungu inabidi kila baada ya muda flani inabidi uwe unampeleka kwa mwalimu. Na usipofanya hivyo naye anarudi kuwa mbwa koko tu.

Kwahiyo hata ww ukitafuta mbwa koko mzuri akiwa bado mdogo, na ukampa matunzo mazuri na ukampeleka kwa mwalimu wa mafunzo anakuwa kama yule yule wa kizungu.

Hata wazungu nao walianza kuwaokota mbwa kama hawa hawa mbwa koko wakawabrand na kuja kutuuzia bei kubwa sana. Hata wauzaji wa mbwa hilo wanalijua.
 
Hiyo ndio tofauti ya Kibu Denis Mswahili na Ronaldo mzungu
Mzungu anafundishika, mswahili utamaliza topic haelewi. Mbwa haliwi, mbwa inabidi awe smart kukulinda. Utalindwaje na kilaza
 
Duh! Mkuu mbona umekasirika hivyo? Hao Mbwa mbona hawafundishwi kila mara? kuna mahala ukipakosea Mbwa wote wanakuwa hawako sawa. Mimi nafuga hao wa kisasa lakini hawafundishwi kila mara mara moja niliyo wafundisha wako sawa mpaka leo.
 
Bora na nunua ngombe wa maziwa kwetu ni 2m ana mimba, wanao nunua hizo mbwa ni white lupens malimbukeni
 
Gentleman,
hiyo milioni3 japo ni kidogo, si ungemnunulia mdogo wako ng'ombe 10 wa saizi ya kati, awe na boma lake la maana pale kijijini na baada ya miaka 10 awe tajiri wa ngombe katika wilaya husika, nae akiendelea kusaidia familia yenu pale kijijini, ndugu jamaa na marafiki na Mungu atakubariki sana?🐒
 
Mil 3 ununue mbwa? Wakati unaweza kukuta mahali vilikozaliwa vimbwa vingi ukachukua kimoja bure tu ukakifunza. Nenda sehemu waliko wale wawindaji uone walivyo na mbwa wakali
Sio kila mbwa anafundishika.
Ni sawa na mzungu na ngozi nyeusi..watu wawili tofauti hata ukiwafundisha kwa usawa ngozi nyeusi itabaki kuwa ngozi nyeusi akili zake.
 
Hiyo ndio tofauti ya Kibu debis mswahili na Ronaldo mzungu
Mzungu anafundishika,mswahili utamaliza topic haelewi.
Mbwa haliwi,mbwa inabidi awe smart kukulinda.
Utalindwaje na kilaza
Kuna kitu kinaitwa upofu wa elimu
kwanza afrika hatuna utarabu wa kugundua kipaji cha mtu toka akiwa mdogo. Ila aende akakisomee
Na mwisho wa siku akitumie,
Kusema waafrika hafundishiki ni kumkosea waafrika kwa sababu wapo wazungu wengi sana wajinga wajinga Hata ww unaweza kumfundisha kitu.
 
Tunaangalia percentage ya ujinga kwa mzungu na muafrica
Waafrica wengi tuna ujinga ujinga kwenye genes zetu,sikatai wapo wazungu wajinga pia ila sio wengi sana
 
Hiyo ndio tofauti ya Kibu debis mswahili na Ronaldo mzungu
Mzungu anafundishika,mswahili utamaliza topic haelewi.
Mbwa haliwi,mbwa inabidi awe smart kukulinda.
Utalindwaje na kilaza
Nani kasema mbwa haliwi.........
 
We fuga mbwa wa victoria au kakamate kitoto cha mbwa machinjioni vingunguti ufuge achana na German shepherds huwawezi
 
Mil 3 ununue mbwa? Wakati unaweza kukuta mahali vilikozaliwa vimbwa vingi ukachukua kimoja bure tu ukakifunza. Nenda sehemu waliko wale wawindaji uone walivyo na mbwa wakali
Mbwa wakali je wanafata maelekezo au ndiyo wale Mbwa wakiona Nyama jikoni wanadokoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…