Siwezi kuolewa na Mwanaume asiyekuwa na gari

Siwezi kuolewa na Mwanaume asiyekuwa na gari

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
"Siwezi kuolewa na Mwanaume asiekuwa na Gari" Maneno haya anasema mwanamke ambaye anatumia sabuni ya kuogea mpaka size yake inakuwa kama kipande cha line ya simu🤭
1732186708709.jpg

.
.
.
.
Ewe Mwenyezi Mungu wajaalie baraka na bahati wanawake wote ambao hawajaolewa. Aamiyn.
 
"Siwezi kuolewa na Mwanaume asiekuwa na Gari" Maneno haya anasema mwanamke ambaye anatumia sabuni ya kuogea mpaka size yake inakuwa kama kipande cha line ya simu🤭View attachment 3157753
.
.
.
.
Ewe Mwenyezi Mungu wajaalie baraka na bahati wanawake wote ambao hawajaolewa. Aamiyn.
Huyo demu nina wasiwasi kama familia yake iliwahi hata kuwa na punda! Any way! mipango siyo matumizi. Namuombea asije ishia kuwa single mother au lishangazi in the future.
 
andika kama mimi tako wanaume hatuogopi, by the way tako usifananishe na flat screen..😂
😂😂😂😂😂 Umbo la mbu la nn sasa,tunaitaji TV ya uchogo bhana😂😂
 
Back
Top Bottom