Siwezi kurudiana na Nay wa Mitego - Shamsa Ford

Ilikuaje akamwacha binti kama huyu???
 
duh! shamsha mtamu jamani apo lazma Neema aweweseke
 
Watoto wa kihuni nawaelewa hapo wanawafumua hawa wanaojikuta matawi na celebs alafu wanapotea kisela acha kabisa uyu binti imebidi akubali kua alimegwa haaa haaa
 
Watoto wa kihuni nawaelewa hapo wanawafumua hawa wanaojikuta matawi na celebs alafu wanapotea kisela acha kabisa uyu binti imebidi akubali kua alimegwa haaa haaa
Ney hajawah kumshobokea dem baada ya kuachana nae,ila kwa Shamsa naona alinasa
 
"Wanaume ni walewale miaka rudi miaka nenda, tuliza papuchi ulee watoto we mama"
 
Anawezaje kumkana kuwa hajawahi kuvuliwa pichu na msela mwenye mpunga wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…