kale kawimbo ka kukariri elements nani anakakumbuka? Hamisi, HEmed,Lile, Beberu, Bora, Nani, Kachinja ,Pale
....
.......
malizieni wadau wengine tumeshasaha mambo ya electron configaration. tution ubungo social club kwa yese na emi, mambo ya mchikikichini mbuzi area.
kale kawimbo ka kukariri elements nani anakakumbuka? Hamisi, HEmed,Lile, Beberu, Bora, Nani, Kachinja ,Pale
....
.......
malizieni wadau wengine tumeshasaha mambo ya electron configaration. tution ubungo social club kwa yese na emi, mambo ya mchikikichini mbuzi area.
hamisi hemedi lile beberu bora chinha na ondoa figo nene nani mgopgo alieiba mbuzi pale serengeti sijui nini tenakale kawimbo ka kukariri elements nani anakakumbuka? Hamisi, HEmed,Lile, Beberu, Bora, Nani, Kachinja ,Pale
....
.......
malizieni wadau wengine tumeshasaha mambo ya electron configaration. tution ubungo social club kwa yese na emi, mambo ya mchikikichini mbuzi area.
kale kawimbo ka kukariri elements nani anakakumbuka? Hamisi, HEmed,Lile, Beberu, Bora, Nani, Kachinja ,Pale
....
.......
malizieni wadau wengine tumeshasaha mambo ya electron configaration. tution ubungo social club kwa yese na emi, mambo ya mchikikichini mbuzi area.
Hapana, ni VERNIER CALLIPER. Ni kifaa cha kupimia kilichovumbuliwa na mwanahisabati mfaransa Pierre Vernier (aliishi zamani karne ya 16 huko!)Hata mimi umenikumbsha mbali sana kwenye 80's nikiwa form one. Hata hivyo kuna kitu umesema VEIN CALIPAR kama sikosei ni VENIUR CALIPUS inatumika kwa measurements ndogondogo..
mkuu lile VERNIER CALLIPER kulikariri kichwani mchoro na parts zake aisee -- na kila paper lazima lilikuwa linatoka.Hapana, ni VERNIER CALLIPER. Ni kifaa cha kupimia kilichovumbuliwa na mwanahisabati mfaransa Pierre Vernier (aliishi zamani karne ya 16 huko!)
Halima Hemedi Chinja lile beberu....blablabla,na yule mzungu aliyesimama serengeti club arudishe kesho cash
kuna ya planets,nilikremishwa darasa la tano hadi leo nakumbuka (MEVEDU of MAJUSA UNEP)Mercury,Venus,Dunia of MArs jupiter saturn uranus neptune plutto
sidhani kama wewe ni wa kizazi hiki anachokiongelea mleta thread!Wewe mtu,umewaza nini leo?
Yaani umenikumbusha mbali sana...
Good news ni kwamba,mwalimu wangu wa Chemistry alinifanya nipende somo lake,hadi sasa nakaribia kugraduate my MD.I miss this teacher,hata sijui yuko wapi siku hizi.
Kwa kweli kuna vitu vingi mwanzoni vilikuwa ni mtihani sana.mkuu lile VERNIER CALLIPER kulikariri kichwani mchoro na parts zake aisee -- na kila paper lazima lilikuwa linatoka.
if a body is fully or partially immersed in a fluid, it displaces its own weight of the fluid.
physics is the study of nature in relation to energy!