Siwezi Kusahau Definition nilizokariri nikiwa form I and II - Science

nani anakumbuika variegated leaves zilikuwa zinatumika kwenye experimet ya nini?
 
Hivi hii ni ile sijui archimedes principal au law of floatation. Mmmh was interesting kabisa. The car starts from rest Acceleration=0

Nimekumbuka: the floating body displaces its own weight ndo law of floatation

Hii law of floatation ina apply when the body is partially immersed. Hizi hesabu kuna wakati nilikuwa nikizifanya mpaka napata orgasm. Zilikuwa TAMU sana...
 
Yani nakumbuka siku moja nilikuwa napita nje ya shule moja nikasikia wakiuimba aisee nikakumbuka mbali kwani niliuimba siku ya kwanza kuingia sec!
ulikuwa form one form two? na mabala the farmer?
 
Aisee kaka umenikumbusha far away, nakwambia mimi nilikuwa nimemeza daftari zote kiasi kwamba mwalimu akitoa maswali kutoka kwenye daftari basi ni mia! Na nilikuwa nikisahau basi naanza kukumbuka daftari lote!
yes mkuu, yaani ukiangalia swali kwenye paper unakumbuka hadi ukurasa kwenye notice. wale walimu waliokuwa wanatoa maswali kwenye notice tuliwadhibu vibaya.
 
State Paschal's Principle, ukipata nakupa ugolo.
mkuu hii hatukuimeza nafikiri ilikuwa advanced level - "pressure applied to an enclosed fluid is transmitted undiminished to every portion of the fluid and the walls of the containing vessel"
 
dah kweli mmenichekesha
moning talk nzao unakuwa umekariri kispeech chako
ukimaliza tu ile gmoning my fellow student ,evaporation inatake place unabaki kusema today i want to speak about chemistry ! kumbe ulikariri desa lingine
 
dah kweli mmenichekesha
moning talk nzao unakuwa umekariri kispeech chako
ukimaliza tu ile gmoning my fellow student ,evaporation inatake place unabaki kusema today i want to speak about chemistry ! kumbe ulikariri desa lingine

Hehehe i loved morning speeches...kuna kitabu nlisomaga ukitaka kuongea infront of pipo bila woga...assume wote wako uchi..yani unajikuta unasmile speech nzima.
Dem dayz...Majengo Sec.
 
Hii law of floatation ina apply when the body is partially immersed. Hizi hesabu kuna wakati nilikuwa nikizifanya mpaka napata orgasm. Zilikuwa TAMU sana...

Hahaha..acha bana orgasm kabisa??!
 
24 - Periodic Chart
= = = = = = = = = = =
Humu - H
Hemani - He
Limo - Lithium
Beberu -
Baya
Choma
Nyumba
Okoa
Familia
Nenda
Nayo
Magengeni
Ali
Simon
Petro
= = = = = = = = =
 
Yani nakumbuka siku moja nilikuwa napita nje ya shule moja nikasikia wakiuimba aisee nikakumbuka mbali kwani niliuimba siku ya kwanza kuingia sec!

Hahah talk of Hawa the bus driver...Mabala ze farmer na Kalulu the hare...ooo...Khumalo the thief.
Dem days jamani...get me singing auld lang syne.
 
Ule wimbo we2, bwana shamba had a farmer iya iyayo.....

Hahahahaha umenchekesha wewe...iya iyayo..teh teh...
Ah uliuimba levo gani huu??!

Si tulifundishwa kuuandika kidhungu...Bwana Shamba had a farm e i e i ooo...lol.
 
hamisi hemedi lile beberu bora chinha na ondoa figo nene nani mgopgo alieiba mbuzi pale serengeti sijui nini tena
ilikuwa soo.nilikuwa napenda chemisrty balaa.acha tu nikikumbuka sec o level namkumbuka mama sana.alikuwa ananikubali!

Siku izi amepunguza kukukubali au??!
Ila o level madem wengi walikua gud in sciences jinsi walivyoendelea wakawa wanaloose interest cjui kwann...
 
nani anakumbuika variegated leaves zilikuwa zinatumika kwenye experimet ya nini?
ahaaa kuna siku bwana kulikuwa na mashindano ya umisenta sijui nilikuwaga mie nashiriki maarifa nadhani sasa ilikuwa mashundanio wilayani kuna maswali ya majani hayo unakumbuka monocotiledon na daikotiledon wewe.bwana nikaabahatisha nikaenda mkoani...ahaaaa hii thread bwana!
 
Siku izi amepunguza kukukubali au??!
Ila o level madem wengi walikua gud in sciences jinsi walivyoendelea wakawa wanaloose interest cjui kwann...
dah atanikubali vipi na amefariki bwana?
 

teh teh teh...mtu anayekaa amejibweteka akisubiri miujiza lazima ile kwake....Just how applicable some of those laws are...
 
teh teh teh...mtu anayekaa amejibweteka akisubiri miujiza lazima ile kwake....Just how applicable some of those laws are...
"Everybody continues in its state of rest until external force applied to it - 1[SUP]nd[/SUP] law of Motion"

Yeah mkuu sayansi ni maisha ya watu, hata dini inasema kila ajikwezaye hukwezwa. kwa hiyo mwanangu ukiamua kuwa kwenye state ya rest na kama hakuna external force yoyote - wafwaa!!!
 
Smile hiyo itakuwa ni UMISHUMTA! UMISETA ni kwa shule za sekondari....sikumbuki kama kulikuwa na mashindano ya namna hiyo. Those days!
 
Last edited by a moderator:
Smile hiyo itakuwa ni UMISHUMTA! UMISETA ni kwa shule za sekondari....sikumbuki kama kulikuwa na mashindano ya namna hiyo. Those days!
yalikuwepo mkuu,kwa primary ,apart fro michezo kulikuwa na masomo.hesabu,maarifa na sanaa na english nadhani...uliza thanks kwa kunikumbusha ni umishumta
 
Reactions: SMU

Ulikuwa mbebs enzi hizo? Mbebz mtindi bana.
 
yalikuwepo mkuu,kwa primary ,apart fro michezo kulikuwa na masomo.hesabu,maarifa na sanaa na english nadhani...uliza thanks kwa kunikumbusha ni umishumta
Ni kweli kwa primary yalikuwepo (nilimaanisha kuwa kwa sekondari(UMISETA), sikumbuki kama yalikuwepo). Lakini inaleta raha sana kukumbuka siku hizo...nakumbuka marafiki wa kipindi hicho..wengine tumepotezana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…